Tanzania ni ya sita kijeshi africa.sielewi huwa mnatumia source gani.
Kikosi maalumu cha makomandoo cha tanzania (special force) ni miongoni mwa vikosi hatari 35 duniani.
Tanzania ni ya 27 kwa ubora duniani na kwa africa ni cha kwanza kwa ubora.
Kuna wakati huwa najaribu kufikiri ni nini kinachowasumbua sisi vijana watanzania hususani katika tatizo la kutojitambua.
Kabla sijapata jibu nikamuona mzee wetu kingunge anaambatana na wakwapuaji na cha zaidi anawapigia debe kwa nguvu zote:
Pale pale nilipata jibu kuwa hili tatizo sugu la...
Mtu mmoja akiwa ni mbumbu au mpumbavu basi mara zote hufikiri na wengine ni mambumbu au ni wapumbavu.
Tunawaomba hiyo video ambayo haijafanyiwa slow motion.
Makongoro ni mbunge wa africa mashariki na mkewe ni jaji wa mahakama kuu familia imemshindaje?
Mbona watoto wake wanakula vizuri na maisha yao ni mazuri na wanasoma ktk shule viwango.
Kuhusu ulevi mbona hao vibaka ni walevi wakupindukia hamsemi na wanatuibia taifa letu kila kukicha.
Lazima tuwe na uwezo wa kutofautisha kati ya kumchafua mtu na kusema ukweli.
Kwa mfano mkulima bora wa nyanya ukamsifu kwa jitihada zake za ukulima bora wa nyanyq sioni kama kuna makosa.
Na fisadi mashuhuri au kibaka katika nchi ukimsifu kwa kwa namna anavyoweza kuiba fedha za nchi kwa ustadi...
Hapa uraisi kama si makongoro nyerere ccm basi itakuwa na kazi kubwa.
Makongiro ndiye mtu pekee mwenye uwezo wa kukemea bila woga.
Na ukimtizama wakati anaongea habari ya rushwa unaona kabisa anakemea toka moyoni.
Nape yuko sawa: Viongozi wetu wa kisiasa iwe wa ccm au upinzani, wanapaswa kutueleza kwa ukamilifu pesa wanazopewa ma mataifa ya magharibi zina masilahi gani lwa vyama vyao na taifa letu.
Kwa nini kama wanapokea misaada isiwekwe wazi.
Kwa mtazamo wangu muda si mrefu tutawekewa vinaraka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.