Recent content by ALIYEICHOKA CCM

  1. A

    Lema 'pasua kichwa' CHADEMA

    kwani hujui CCM wote Vilaza
  2. A

    Nape: Bajeti Mbadala ya Kambi ya Upinzani inadhihirisha uongo wa CHADEMA

    Nape achana na chadema hakuna saizi yako pale wa kulingana nae nenda ukabishane na mambumbu wenzako wa CCM wale sio wenzako na pale usidhani unalingana na mtu yeyote pale so taka care of your dirty mouth nenda kafanye scrub
  3. A

    Nape: Bajeti Mbadala ya Kambi ya Upinzani inadhihirisha uongo wa CHADEMA

    wewe bado unaangalia TBC???? Angalia mlimani TV pekee
  4. A

    Ahsante mheshimiwa Zitto, lakini huyo ni mbuzi kwenye gunia!

    Uliyoyaandika hapo embu jaribu kusoma mwenyewe then utaelewa wapi ulipokosea Ndugu yangu mada zako sometimes huwa zinakingana zenyewe ndo hapo huwa nashindwaga kuzielewa nimekuwa mfatiliaji wa jamii forums daily lakini sichangiagi kutokana na kwamba mada nyingine ni kuchafuana na mambo mengine...
  5. A

    GE2010 Mh: Zungu akiri C. C. M kupoteza viti zaidi 2015

    nakuhakikishieni 2015 there will be no CCM kwa hali ya mitaani jinsi ilivyo na wengi wao watkuwa behind bars
  6. A

    Nape: Bajeti Mbadala ya Kambi ya Upinzani inadhihirisha uongo wa CHADEMA

    who is nape in this country??? Tunaweza kumdefine kama 1)Anayetumiwa na wajanja 2)Ajui analolifanya 3)Mtu mwenye sifa na asiyejua ni kitu gani anakifanya Akishakaaga na wajinga wenzake basi anaakuja kutuletea shobo
Back
Top Bottom