Mh: Mussa Azzan Zungu katika uchangiaji wa bajeti ya serikali aishauri kambi ya upinzani kukubaliana na kuunga mkono serikali katika masuala yenye manufaa kwa nchi jambo litakalowafanya kupata viti viwili zaidi mwaka 20!5....''...mkifanya hivi 2015 tutawapa viti viwili,viwili tu''