Recent content by Ali Hassani

  1. Ali Hassani

    Musa Assad aingia mkataba wa ukaguzi na Sweden

    Ngoja awanyooshe vizuri wale wachumia matumbo
  2. Ali Hassani

    Tanzania yateng’eneza meli

    Vitu viwili vinafanyika 1)kuna baadhi ya vifaa ambavyo ni direct imported huwa wanaassemble kama vile engines n.k 2)kuna vitu ambavyo huwa vinaundwa au kutengenezwa hapa hapa bongo ambavyo huwa vinahusisha welding activities Kwa hiyo tukisema meli inatengenezwa hapa bongo sawa au tunafanya...
  3. Ali Hassani

    RPC Arusha na ulinganishi wa vyeo JWTZ na PT

    Kunywa Pepsi ya baridi nakuja kulipa mkuu
  4. Ali Hassani

    Ni nani alitaka kumuua Tundu Lissu?

    Hoja dhaifu
  5. Ali Hassani

    Ujenzi wa ovyo wa makutano ya Mbezi mwisho Tatizo ni nini? Tanroad

    Acha kutetea uozo wewe alichokisema lina mashiko na utabaki kuwa ukweli daima
  6. Ali Hassani

    Ujenzi wa ovyo wa makutano ya Mbezi mwisho Tatizo ni nini? Tanroad

    Mkuu hili limekaa vyema Tanroad wao wanajua kufikiria 10% tu
  7. Ali Hassani

    DOKEZO Limeshafika ghorofa ya 13 na linaendelea, lakini nguzo kama njiti za kiberiti

    Kumbe mpo humu humu? Yaani hata uchochoro haupo kati ya jengo moja na lingine duuuh!
  8. Ali Hassani

    Morogoro: Lori la Mafuta lapata ajali na kulipuka, watu 104 Wapoteza maisha na wengine kujeruhiwa...(Picha zinaogofya)

    Inna lillah wainna ilaih raj'iuun tumuombe mwenyezimungu atuepushe na majanga kama haya.
  9. Ali Hassani

    Kwa akili hii ya TANROAD na watawala wetu sioni foleni zikisha Dar

    Njia pekee itakayomaliza foleni dar ni kujenga reli ambayo zitapita treni za abiria kama daladala kwa mfano Kibaha-posta-k/koo G/mboto-k/koo-posta Bagamoyo-k/koo-posta Mbagala-k/koo-posta Kwa kufanya hv huwezi tena kuwa na foleni dar
  10. Ali Hassani

    INAWEZEKANA HII INATOKANA NA UGUMU WA MAISHA

    Alichokifanya hata mungu mwenyewe hapendi
  11. Ali Hassani

    INAWEZEKANA HII INATOKANA NA UGUMU WA MAISHA

    Anaogopa kula kondoo wake
  12. Ali Hassani

    INAWEZEKANA HII INATOKANA NA UGUMU WA MAISHA

    -Kijana mmoja ameamua kujikata uume wake pamoja na kidole chake cha shahada akisema kuwa ameamua kufanya maamuzi hayo ili amtumikie M/mungu. -Amesema ameamua kukata viungo hivyo hususani uume wake kwa sababu mambo ni mengi. -Je huyu jamaa kweli ameamua kumtumikia M/mungu au anaenda kinyume na...
  13. Ali Hassani

    Prof. Assad aula, aingia mkataba na Sweden kukagua miradi yote ambayo Tanzania inashirikiana na Sweden

    Haiwezi kuingia mkataba na CAG bali imeingia mkataba na Prof Assad amejibrand kutokana na ufanisi wake kazini
  14. Ali Hassani

    CAG: Shirika la ndege la Tanzania (ATCL) linajiendesha kwa hasara

    Halafu cha kushangaza katika haya mashirika ndo yanaongoza kwa kula bata wafanya kazi wake sana mainsentives kama yote vile achilia mbali mishahara Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom