Ali Hassani
Member
- Oct 30, 2015
- 96
- 39
-Kijana mmoja ameamua kujikata uume wake pamoja na kidole chake cha shahada akisema kuwa ameamua kufanya maamuzi hayo ili amtumikie M/mungu.
-Amesema ameamua kukata viungo hivyo hususani uume wake kwa sababu mambo ni mengi.
-Je huyu jamaa kweli ameamua kumtumikia M/mungu au anaenda kinyume na uumbaji wa mungu?
-Vp una maoni gani juu ya uamuzi wake?
-Amesema ameamua kukata viungo hivyo hususani uume wake kwa sababu mambo ni mengi.
-Je huyu jamaa kweli ameamua kumtumikia M/mungu au anaenda kinyume na uumbaji wa mungu?
-Vp una maoni gani juu ya uamuzi wake?