Januari ni waziri katika hii serikali na anatuaminisha kwamba yeye ni mkombozi wa nchi, ili nimuamini anatakiwa ajitoe kwenye hii serikali kwa sababu chakula kizuri hakipikwi chooni
Mkuu kweli kwa wizi wa kura ni namba wani mfano kwenye katiba zanzibar wajumbe walikua 210 ila sita akasema ni 219 bara kura 419 akasema 412 kweli ni namba wani
mkuu suala lako halina mashiko na ni dalili za kukwepa utaifa wako nikupe mfano nchi ya drc enzi za rais mobutu iliitwa zaire na kuna watu wengi walizaliwa ilipokua inaitwa zaire na sasa wanaitwa wa drc kwa hiyo kurudisha jina la nchi yetu kuwa tanganyika hakuna tatizo na tutazoea tu kujiita...
mkuu nilisikiliza hotuba yote lakini suala la kiutawala sikusikia akizungumzia nina maana yeye rais na waziri mkuu wana madaraka zanzibar na kama hawana kwa nini?
KARUME'muungano ni kama koti ukilichoka unalivua'wazanzibar washavua koti kwa kuwa na katiba, ,wimbo wa taifa,bendera na sasa wanataka mamlaka kamili yaani wawe na kiti UN.unachoongea hapa na kuweka maneno ya Nyerere ni kazi bure ningekushauri uende zanzibar uwaeleze busara hizi za mwalimu
na mimi pia najiuliza hivi mtanganyika gani alipendekeza tanganyika ife, hata hivyo kigoma kubwa sana huwezi ukajua nani alipendekeza nini halafu mkuu unajua wazenj wanataka mamlaka kamili wakimaanisha kiti UN mnaweza kuwazuia hao watu wenye utambulisho wao
Mkuu nakukubali sana kwa huu uwezo wako wa kutafuta data ila kwa mimi siamini sana hizo data hasa kwa waliotoa matokeo(cia)hivi wapi walipofanyia uchunguzi huo huku ninapoishi pangawe hali ni mbaya sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.