JamiiForums Tanzania
UTALII
Jamii Formums, mwaweza kuweka pia jukwaa la masuala ya utalii.
Ninaandika kuhusu sehemu inayoitwa Chemka, Hot spring iliyopo Hai, Boma ng'ombe huko moshi. Kiingilio kwa mtu mmoja ni elfu 5, wakati mwingine inapanda kwa kadiri ya msimu.
Hoja yangu ni kuhusu uchafu na uchakavu wa vyoo vyao, na...