JF, tunaomba mtusaidie kuwauliza wamiliki wantandao wa Smile, kuna tatizo gani ambalo halitatuliki? Ni zaidi ya miezi mitatu sasa huduma hazipatikani kwa tuliopo nje ya Tanzania.
Tumewauliza mara kadhaa kwa email, wanadai kuna tatizo la kiufundi.
Siyo kawaida tatizo kudumu miezi.
Tunaomba watuweke wazi kama ni kufilisika, ili tutafute namna nyingine kuwafikia ndugu zetu waliopo mbali nasi.
Tumewauliza mara kadhaa kwa email, wanadai kuna tatizo la kiufundi.
Siyo kawaida tatizo kudumu miezi.
Tunaomba watuweke wazi kama ni kufilisika, ili tutafute namna nyingine kuwafikia ndugu zetu waliopo mbali nasi.