Recent content by alfredkohi

  1. A

    Cosmetics Sales Reps, Sales Supervisor and Key Account Rep, Data Clerk

    Sales Supervisor: awe tayari kutumia pikipiki Sales Rep/Van: Awe na leseni ya udereva Key Account Rep: Awe na uzoefu wa Supermaket na awe tayari kutumia pikipiki Data Clerk: Awe na uzoefu wahiyo kazi Wote hao lazima wawe wana uzoefu na uzaaji na usambazaji wa vipodozi au madawa ya binadamu...
  2. A

    Entry fee at Mlimani city

    Viva tower ni bure ndani ya masaa matatu
  3. A

    Nyumba inauzwa Dar-Magomeni Mikumi

    Hahaha elezea nyumba sio kiwanja na kama ulivyoshauriwa hapo juu...weka picha, bei na simu. Mbona hii issue ya namna gani utangaze bidhaa yako imeishaelezewa sana hum lakin watu hatubadiriki?
  4. A

    Nashindwa ku-install baada ya kudownload whatsap

    Chakuongezea hapo usipuuzie updtes zake...muhim sana kua update
  5. A

    Wataalamu wa magari 1.3 litre/ 1300cc inamaana gani?

    Kimsingi cc ya ingine haina uhusiano na fuel consumption kwa maana kwamba hakuna std formula kuwa ukiwa na lets say cc1300 basi itaenda km 13 au ukiwa na engine ya cc 4200 basi itaenda 42km hapana. Iko hivi: 1.3ltr maana yake ni kwamba at any given moment enginw yako inakuwa na huo ujazo wa...
  6. A

    Ushauri kwa Watanzania tununue madish ya chanel za bure

    Isolokobwe: SAMSUNG pekee ndo wana inbuilt decoda na uikiishainunua hulipii chochote kupata free channels ndo maama nimetumia neno FREE CHANELLS
  7. A

    Biashara bora na nzuri kwa wastaafu

    Kustaafu ni changamoto na ndo maana wastaafu wengi hufa haraka kwa kushindwa au kukosa shuguri au mradi wa kumuingizia kipato na kumu keep busy. Naamin hiki kizaz chetu uelewa umekuwa mkubwa sana kiasi ambacho vijana wetu ndo wanaomiliki uchumi na wengi wana focus nzuri za uhangaikaji japo...
  8. A

    Ushauri kwa Watanzania tununue madish ya chanel za bure

    Kwa sasa huitaji kununua decoda na tv unless budget ---- imebana. Au kama tayari una tv sawa ila kama huna nashauri ununue tv za samsung LED zina inbuilt decoda na unapata free channels zote za hapa ndani kwa maana ya local channels na pia za nje kwa maana ya free channels pia. Na zote hizi ni...
Back
Top Bottom