Entry fee at Mlimani city

Entry fee at Mlimani city

hii ni nzur ,tena bei ya parking bado upo chin ,hapa tunataka kupromote public means of transport in order to reduce the rate of emission of green house gases which is dangerous to the environment in which they increase the rate of urban heat island .

inabid tupande daladala hata kama ni kwa kubanana cha muhimu umefika kazin ,unakuta mtu mmoja yupo kwenye gar mwenyewe anaongeza msongamano ,na inabid kuwe na barabara za kulipia ,hii itaongeza mapato kwenye halmashaur za jiji .
 
Sasa zile benki mke ndani zilivyo na foleni Mmm kasheshe ILA tutazoea .Kwa Mimi ninasiku nyingi Sana sijaenda pale kwani huduma zilizopale zinapatikana kila mahali jijini Dar

Kweli mkuu siyo lazima kwenda pale mlimani city, huku mitaani siku hizi minisupermarkets kibao ambazo you can get services zinazopatikana mlimani city and no parking fees, why bother to go there?
 
Sawasawa, ukichukua tiketi unaanzisha stop-watch alaf dk ya 50 unatoka nje, unaenda kuingilia geti lingine unachukua tiketi tena. Unaweza tumia dk100 bure na utakua umemaliza shughuli yako! Uvumilie usumbufu wa dk20 za kutoka na kuingia tena, na ndipo utagundua umeokoa Tsh 500/- tena ya sarafu kwa masaa 2.

Mbongo utamjua tu.
 
Hakuna sababu ya kulalamika, kwanza wangeweka 10,000/hr mbona ndogo hivyo? Kwani ni lazima uende na gari?
 
Sawasawa, ukichukua tiketi unaanzisha stop-watch alaf dk ya 50 unatoka nje, unaenda kuingilia geti lingine unachukua tiketi tena. Unaweza tumia dk100 bure na utakua umemaliza shughuli yako! Uvumilie usumbufu wa dk20 za kutoka na kuingia tena, na ndipo utagundua umeokoa Tsh 500/- tena ya sarafu kwa masaa 2.

Hizo cost na risk za kuingia na kutoka every less than 1 nazo ni kubwa. better not to come or pay it
 
hahahah atalipa 5000 per day jioni analipitia kama kawa

Kuna town moja huwa wanafanya hivyo, yani kunakua na parking lot kama 500 hivi nje ya mji, na hapo hapo kuna train kila baada ya nusu saa, drive gari yako ukifika unatoa $15 ya siku nzima baasi town ni kwa mguu kwa sababu kule parking yake ni $30siku. Kwa nn hata Dar mradi kama huo usianzishwe? Just ile bilioni 9 ya Mwakyembe ingaweza tengeneza one parking site kuubwa watu waishie kimara tu
 
Hivi mlimani city kuna nini hasa cha maana? Vidada vijinga vinavyoongelea puani?
 
Kwa kuanzisha hii parking fee, ina maana na lile neno linalokera kwamba ''parking is at your own risk'' halitatumika tena wahuni wakifanya yao kwenye magari yetu?
 
Mlimani city, sehemu ambayo watu hawanunui bali huenda kuuza sura na kupiga picha za Facebook
 
Kuna town moja huwa wanafanya hivyo, yani kunakua na parking lot kama 500 hivi nje ya mji, na hapo hapo kuna train kila baada ya nusu saa, drive gari yako ukifika unatoa $15 ya siku nzima baasi town ni kwa mguu kwa sababu kule parking yake ni $30siku. Kwa nn hata Dar mradi kama huo usianzishwe? Just ile bilioni 9 ya Mwakyembe ingaweza tengeneza one parking site kuubwa watu waishie kimara tu

Dah! Sasa mbona iyo ni gharama sana, $15/siku kwa mfano ni zaidi ya 24,000Tsh, na hapa watu tunapiga mahesabu ya kuepuka 4000Tsh = $2.5 kwa masaa 10/siku endapo Tz itaanzisha parking lot zenye mfumo kama wa Mlimani City. Afterall ka kuna parking lot nyingi basi gharama inatakiwa kuwa chini zaidi.
 
Hivi mlimani city kuna nini hasa cha maana? Vidada vijinga vinavyoongelea puani?

Kuna kiduka cha vifaa vya Tim Cook mkuu, duka la kubadirishia hela za kigeni na kimgahawa kingine kitafunguliwa hivi karibuni cha wale kuku wa Kentucky.
 
Kuna town moja huwa wanafanya hivyo, yani kunakua na parking lot kama 500 hivi nje ya mji, na hapo hapo kuna train kila baada ya nusu saa, drive gari yako ukifika unatoa $15 ya siku nzima baasi town ni kwa mguu kwa sababu kule parking yake ni $30siku. Kwa nn hata Dar mradi kama huo usianzishwe? Just ile bilioni 9 ya Mwakyembe ingaweza tengeneza one parking site kuubwa watu waishie kimara tu

Mkuu wakiishia Kimara hiyo train ya kuwapeleka city centre kila nusu saa itakuwepo? Lazima tuanze na vitu kama train kwanza ndiyo watu wawekeze kwenye parking za aina hiyo
 
kuna mtu alikuwa analipaki anaenda posta kwente shughuli zake jioni anapita anachukua sasa hii imekula kwake.
hahahahaaa..,mkuu hapa unawasema wengi tu..,may be hata ww mwenyewe
 
Mlimani city, sehemu ambayo watu hawanunui bali huenda kuuza sura na kupiga picha za Facebook
statement yako iko kiutani lakin practically kuna ukweli kwa zaidi ya asilimia 50..,zaidi ya nusu ya watu wanaoonekana mlimani city ni kuuza sura tu
 
Kushangaa kutapungua ndani!

wengi wanaoenda mlimani sidhani kama asilimia 5 inafika wanaoenda kwa madhumuni ya kushangaa.Pia si mbaya kama mtu akifanya window shop na akaja nunua bidhaa hiyo wakati amejipanga.
 
Hapa kuna namna, jamaa wamegundua kuwa kuna watu wanaingia na magari halafu wanayaacha na kwenda sehemu nyingine nje ya Mlimani City kwa shughuli nyingine.

Vv
 
Back
Top Bottom