Nivigumu sana kumsikia mwanaume akisema "hii namba yangu amekupatia nani !?" Shida iko kwa hawa dadas, Wallah wakiijua hii sheria wanaume tutaishia kulipa madeni
Polisi wakikaa kando hata walemavu wa miguu watatembea kuandamana ila saizi ukinyanyua mdomo kuongea kesho na kesho kutwa tunakusikia umetekwa na watu wasiojulikana
Hili swala naona ni zito kwangu na kwa baadhi ya vijana na wanaume wa aina au wenye akili kama yangu, sijasema na akili punguwani NO hapana.
Swala la urafiki wa jinsia mbili tofauti katika eneo moja (Kijiji, mtaa au kitongoji) ni kitu kigumu sana kwa Karne hii ya 21 lazima pawe na NEGATIVE...
Kaka wagombea wa vyama pinzani wanatishwa, wanatekwa, wanauawa n.k inajenga hofu na wasiwasi wa kuendelea kujitangaza kwa wapinzani (chama tawala) lakini naimani tutafika tu !.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.