uwezo wa kupata milioni 50 sina kabisa labda mniajiri mimi binafsi sina biashara yoyote mimi labda uniambie tafuta laki moja uje tufanye biashara fulani naweza itafuta ndani ya mwezi mmoja ila kama uwezekano wa kuniwezesha upo nitakushukuru
nami siamini katika kubeti maana mwaka jana nilijaribu ikashindikana mikeka inachanikia mwishoni au unaweka timu ishinde au idraw inapigwa kubeti kunaumiza
Ndugu zangu watanzania wenzangu,kaka zangu,dada zangu,baba zangu na mama zangu.
Naombeni mnishauri aina ya biashara nayoweza kufanya na nikapata mafanikio ndani ya mda mfupi mfano ndani ya miaka mitano niwe angalau nimenunua kiwanja changu na nimejenga nyumba nzuri
Au unaweza ukanipa muongozo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.