Huyu ni msanii wa nini?
Kwanza nani amesema anataka msamaha wa wasanii?
Wao wafanye kazi zao kusikiliza na kusupport kazi zao hio ni choice ya msikilizaji mwenyewe.
Hili jambo liwe hivi hivi miaka yote mitano, ikipita tar 9, inatangazwa tar 12 Jan, baada ya hapo inakuja 14 Feb
Kila siku watu wapate kazi za kufanya, hata walio maofisini wasikae kwa amani
Hili andiko lako 40% lina ukweli lakini 60% sio kweli, ni mambo ya kusadikika, probably sababu ni MT ndio maana knowledge yako ni dogo.
Ninachikubaliana na wewe ni kwamba, wazee wengi ni CCM, lakini kinakuja kizazi ambacho hakielewi loyalty na watawala hapo probably kunaweza kuwa na mabadiliko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.