Recent content by alexiz sanchez ozil

  1. A

    TAHARUKI!! Vijana washusha bendera ya CCM na kupandisha bendera ya Tanganyika

    Upepo wa kuifanya bendera ipepe hivyo, lazima hayo majani ya miti nayo yangekua yanapepea uelekeo wa bendera. AI hio
  2. A

    PostGE2025 Sativa ashitakiwa kwa kutoa taarifa za uongo. Mahakama yaombwa kutoa kibali cha kukamatwa kwake

    Uzuri wa nchi zenye separation of power, Unaweza negotiate na viongozi wanasiasa wakakubali kumrudisha, lakini mahakama ikakataa na ikawa ndio mwisho.
  3. A

    PostGE2025 Msanii Jimmy Mafufu: Ushiriki wa Wasanii kwenye kampeni Sio Kosa kwahiyo hatutaomba radhi

    Huyu ni msanii wa nini? Kwanza nani amesema anataka msamaha wa wasanii? Wao wafanye kazi zao kusikiliza na kusupport kazi zao hio ni choice ya msikilizaji mwenyewe.
  4. A

    Je, unadhani Migogoro inayoendelea nchini kwa sasa inachochewa na uwepo wa Madini adimu (Rare earth minerals) nchini?

    Hayo madini yamewahi kumteka mtu? Acheni kusingizia vita ya uchumi wakati mambo mnayasababisha wenyewe
  5. A

    Series (Special thread)

    Hio Pluribus, ipo hadi episode ya 5. Director wake ndio yule wa Breaking Bad na Better call Saul
  6. A

    Series (Special thread)

    Series kali
  7. A

    Series (Special thread)

    Ser Duncan the Tall
  8. A

    Bado hamjasema. Vikao mnafanyia hemani?

    Kufika kwenye kikao wajumbe walikua wanavalishwa magunia meusi usoni, unaoandishwa pira unaenda kufumbuliwa macho ndaninya hema in undisclosed location
  9. A

    Wanajeshi JWTZ wenye silaha warudi kulinda Dar es Salaam, kulikoni?

    Hili jambo liwe hivi hivi miaka yote mitano, ikipita tar 9, inatangazwa tar 12 Jan, baada ya hapo inakuja 14 Feb Kila siku watu wapate kazi za kufanya, hata walio maofisini wasikae kwa amani
  10. A

    PostGE2025 Hivi zile Saa 24 alizotoa Augustin Polepole hazijaisha bado?

    Sema jamaa ana mkwala bwana, kama una roho nyepesi unaweza kumuamini
  11. A

    Swali fikirishi: Hivi Jeshi lipo kwa ajili ya kulinda wananchi au mtu mmoja?

    Kiapo ni kumtii na kumtumikia Raisi na amiri jeshi mkuu, Mengine ni maelekezo kutoka kwake, hata kulinda mipaka hawajiamulii wanapewa maelekezo.
  12. A

    Makala Elimishi: Kwanini JWTZ Kamwe Haliwezi Kupindua Serikali Tanzania? Ni JWTZ ya Serikali ya CCM, ni JWTZ CCM!

    Hili andiko lako 40% lina ukweli lakini 60% sio kweli, ni mambo ya kusadikika, probably sababu ni MT ndio maana knowledge yako ni dogo. Ninachikubaliana na wewe ni kwamba, wazee wengi ni CCM, lakini kinakuja kizazi ambacho hakielewi loyalty na watawala hapo probably kunaweza kuwa na mabadiliko
  13. A

    Kifinyo cha Kimataifa kizidi hadi Wanajeshi na Polisi wakose Posho na Mishahara

    Kwa mapato ya ndani tu wanaweza kulipa mishahara watu wao, pesa itakayokosekana itakua ni yetu sisi walala hoi.
Back
Top Bottom