Recent content by Alexido jz instagram

  1. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Kiredio na Vee Dollar: Hivi Mapenzi Hufia Kwenye Mafanikio au Umasikini Ndio Unaounganisha Watu?

    Wamemwagana hao, kimpost mpenzio insta n hatari, Kuna wasukuma WA madini washamba eti wanatumia mwanamke milioni kumi na hawajawahi onana nae
  2. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    Safi mkuu talifanyia kazi
  3. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    Hapana kaka maisha yangu silali njaa nakula nacho taka, ila natamani walau kabla ya mwaka 2030 niwe na tsh billions of money kwishaaaaaaaa
  4. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    Safi kaka nilianza kwanza kuandaa jina nimepata, ZACHARIA JR environmental maintainance group. Hii ni kujitofautisha nakuwa Fanya wateja wangu wanitambue. Sasa mengine yatafata
  5. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Dj Choka hana busara hata kidogo. Maradhi yake isiwe sababu ya kuwahukumu watu

    Asee kaka Huwa NAJIULIZA nikipata huo mtihani Mimi si nakufa nakufa hapohapo mana dialysis sio kitoto hizo gharama
  6. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    Nipo zenji Kwa sasa mkuu, nihabarishe ULIPO nitue chap kama nyau,,,,,,,
  7. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    Bro kupulizia dawa sio kuua kunguni tu, ni kupe elimu kidogo unakumbuka yule muheshimiwa wa kinondoni alipoteza watoto wake wawili kisa mbu? Sasa kama tajiri na muheshimiwa kama huyo kapoteza watoto wawili kisa mbu unatakakusema Nini? Kupulizia dawa sio kunguni tu kaka ni wadudu kibao ambao...
  8. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    Namajivuno gani mkuu? Kuhusu ukobazi mkuu nimezaliwa humo kwenye dini hakuna ndugu yangu yoyote asie kobazi labda mshua tu ndio mroman catholic
  9. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hizi story kuwa Nabii Tito atunae ni za kweli?

    Taarifa sio za kweli nazani ni uzushi tu, mana hakuna media iliyo tangaza mpaka sasa, jamii check hakikini taarifa hizi kama ni za kweli?
  10. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Hizi story kuwa Nabii Tito atunae ni za kweli?

    Nimekutana na hii taarifa kua nabii Tito kapoteza maisha, je ni za kweli hizi taarifa? Ikumbukwe nabii Tito alimdhihaki MUNGU, Kwa kujiita ye MUNGU na yesu ni mwanae
  11. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    Asante kaka tajaribu kukaza mkanda, japo na mashaka na vigezo vya kusajiliwa
  12. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    Kweli kaka, Asante sana
  13. Alexido jz instagram

    JamiiForums Tanzania Nimechoka kujifanya wakishua, napuliza dawa majumbani maofsini nk, pliz tuwasiliane wakuu

    Nat aka nikomae na zenji badae taangalia ustaarabu kama nihamie dar au nibak
Back
Top Bottom