Safi kaka nilianza kwanza kuandaa jina nimepata, ZACHARIA JR environmental maintainance group. Hii ni kujitofautisha nakuwa Fanya wateja wangu wanitambue. Sasa mengine yatafata
Bro kupulizia dawa sio kuua kunguni tu, ni kupe elimu kidogo unakumbuka yule muheshimiwa wa kinondoni alipoteza watoto wake wawili kisa mbu? Sasa kama tajiri na muheshimiwa kama huyo kapoteza watoto wawili kisa mbu unatakakusema Nini? Kupulizia dawa sio kunguni tu kaka ni wadudu kibao ambao...
Nimekutana na hii taarifa kua nabii Tito kapoteza maisha, je ni za kweli hizi taarifa?
Ikumbukwe nabii Tito alimdhihaki MUNGU, Kwa kujiita ye MUNGU na yesu ni mwanae
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.