Recent content by alexanda j kasomo

  1. A

    Natafuta mume

    nimeipenda nicheki kupitia 0766717965'kishaniambie mimi wa ngapi?
  2. A

    Natafuta mume

  3. A

    Vijana tuungane tujiajiri

    Wazo jema huwezi fanya kitu bila kuwa na kitu kwanza una elimu,una nguvu ila huna nyenzo inaweza kuwa pesa au vifaa. Kwa wanaounga mkono hoja wakubali kuchangia pesa kidogo mfungue akaunti halafu muweke malengo kila mwisho wa mwezi kila mdau achangie alichonacho na atunze risiti yake ya malipo...
  4. A

    Lowassa anastahili kuheshimiwa na kuenziwa!

    Hai wadau naomba kuandaliwa business plan ambayo budget yake si zaidi ya 100,0000 na si chini ya 800,000 malipo ni maelewano ila iwe inatekelezeka.
  5. A

    Lowassa anastahili kuheshimiwa na kuenziwa!

    kweli kabisa ana mchangomkubwa sana katika wimbi hili la mabaadiliko
  6. A

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    Poleni wanajamnvi na hongereni kwa michangoyenu ya hali na mali inayoendelea kukomboa jamii.Baada ya kuangaika kwa mda wa mwaka mmoja nimepata 2m kama mtaji Je?. Nibusiness gani nzuri ninayoweza kuifanya japomtaji ni mdogo.Naomba ushauri kwenu wanajamvi degree zinatutesa hukumtaani.
  7. A

    Kabla hujaanza kuzunguka na bahasha soma hapa

    asante mkuu kwaushauri wako ingawa swali la kujiuliza ni je? ikiwa hitimisho ni kujiajiri tupatewapi mitaji watoto wa wakulimama tuliosoma kwa mkopo inabidi tuone namna ya kupata mikopokupitia hivivyeti
  8. A

    Natafuta kibarua chochote hata kiwe cha kusaidia fundi ujenzi

    Poa mkuu kazi zipo kama kushusha viroba,bia na kupakia kwanzia saambili asubui hadi saam bili usiku mshahara laki moja na nusu tu kwa mwezi. no weekend no likizo kamauko tayari na unajiaminikufanya kazi za kibabe bila kuteteleka kila siku nicheki sim No 0766717965
  9. A

    Ajira za uhamiaji zilizolalamikiwa zafutwa, mchakato kuanza upya

    Asante wana jf kwa update riziki ya wanyonge itapatikana kwa viliovyao, elim ni ufunguo, mitandao ya kijamii tunaipongeza izidi ng'ara, iliyote yaliyoko gizani yazidi fichuliwa kwa uwezo wa God.
  10. A

    Ajira jeshi la polisi

    Napenda sana kujiunga na jeshi la police.Nikiwa chuo 2013 nilijaza form lakini sikuitwa kwa sasa niko mtaani form za kujiunga zimetoka kwa wahitim tu.Je tulioko mtaani na tunamoyo wa uzalendo wa kujiunga na jeshi la polisi, tunaomba kwa njia ipi? au barua zitumwe kwa anuani ipi?
  11. A

    Tangazo la ajira Jeshi la Polisi 2014/2015

    je tulio kaamtaani miaka miwili baada ya kuhitim tuna ombaje nafasi, form zimetolewa kwa wahitimu tu!
  12. A

    Gari zinauzwa

    naihitaji kibiashara
  13. A

    Gari zinauzwa

    Asante name nahitaji haisi used kwa m3 kama unaweza nipigia debe/kunitafutia ni sms kwa 0766717965
  14. A

    RE: Archaeologist

    I have a bachelor in archaeology. Under this discipline I am well organized in Archaeological methodology and well experienced in land Excavation. Was conducted two field school first was conducted at Bagamoyo Kaole luwinzi site, secondly was conducted at Rukwa iron technology smelting site. I...
  15. A

    Remtaalam wakutunga mashairi/kipaji

    Ninakipaji kizuri cha kutunga mashairi na tenzi zenye mvuto,lugha mwanana zenye kufuata urali wa vina na mizani. Naomba wasanii chipukizi, waimba taarabu, kamamnahitaji hudumahii niko tayari, Vilevile kama kunamtu anawezaniajiri katika fani hii niko tayari. Mafano wa Utenzi Elim kiingilio...
Back
Top Bottom