Huu wimbo afande alibonda sana, mashairi yaliyoshiba mpaka kupitiliza kwa kutumia maneno halisi na mpangilio uliotukuka,utasema alitunga mwaka mzima
Ni moja ya verse bora kuwahi kutokea katika bongo fleva ukiachana na ile ya Mansu Lii katka wimbo wa mchizi wangu remix wa Nako 2 Nako.
Afu mkasahau msela ni wa ukanda ule ule wa wakulima wa misifa.
Possible muda anapiga mlango na kasia, ndio muda wale wahudumu pia wanafanya kufungua so ikatokea kwa pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.