Ahsante Kwa ushauri wako nzalendo
Bila shaka nitafanya huu uchunguzi. Na pia naomba kama waweza pia fahamu juu ya mlbiashara hii ya mafuta unipe ujuzi (darasa kidogo) na Kwa uzoefu wako labda; maximum nauli Kwa mtu mmoja hua wanatoza kiasi gani from dar to Kigali.??
Na unanidhauri bus...
Post yako inachanganya sehemu aisee... Umesema mungu halafu ukasema Mungu... Na at some points ukaweka Mungu kwenye mungu
Tafadhari tambua yakua Mungu hachanganywi...
Ahsante sana aisee,
Hakika umenifungua macho yangu na nimepata kuelewa. Umenipa hesabu rahisi na yenye maana mno. Ahsante mno.
Kwahio;
Mfano Kwa makadirio., Lori LA mizigo hesabu yake ni kiasi gani kwa siku!
Na coaster za mgodini zinakodiwaje!
Na bus kubwa hesabu yake Kwa makadirio ni kiasi...
Mimi ni Mfanya Biashara, na sio mfanya biashara.
Ukiwa Mfanya Biashara unapozungumzia faida, inamaana kwamba BIdhaa zinakua na Ubora Wa Juu.
Ubora hilo ni jambo #1
NAOMBA IELEWEKE....
Ushauri pekee na ndio utakao kua Tiba kwako ni "Maombi" otherwise utateseka.. MPE Mungu nafasi sasa akuponye.. 20yrs sio mchezo.
Angalia www.Emmanuel.tv utapokea uponyaji, kuna wengi walikua na case kama yako na wamepokea uponyaji Wao.
Huo ndio ushauri na dawa pekee....
Habari wana JF,
Samahanini kaka &,Dada mlioko humu, ila nalikua naomba ufafanuzi Kwa Mwenye ufahamu juu ya swala hili.
Mimi ni mfanyabiashara, na ninamshukuru Mungu ameniwezesha kupanda kiwango cha juu. Ahimidiwe Yeye Mungu. Wa Baba zangu Ibrahim Isaka na Yakobo!
Niko kwenye mazungumzo na...
Tulimumu kuhusu issue ya barabara nadhani ni challenge Kwa government na pia Kwa watengenezaji. Barabara ni plan yake ni nzuri sana, tatizo ni 1 ni ndogo (nyembamba) ukilinganisha na wingi Wa nagari uliopo ndio maana unakuta at some areas watu wanavunja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.