Recent content by Alex24hrs

  1. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Asee bar kuna pisi kali mno

    Zangu ninazo na natamba nazo sijui zako hapo😆😆
  2. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Asee bar kuna pisi kali mno

    Ni wivu wa kukuhurumia huwa mnakuwa wapole sana mkibananishwa.😆
  3. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Mchagua jembe si mkulima.

    Mungu akuongoze umpate pia wa kuendana naye
  4. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Mchagua jembe si mkulima.

    Umeoa au uko mbioni kutoa?
  5. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Asee bar kuna pisi kali mno

    Acha tamaa mwamba usije pigwa na shot😆😆
  6. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Khaaa, nmepitiwa nikalala mchana huu eti nimeota Lissu katolewa jela na kupewa umakamu wa raisi kama hatua ya 'Maridhiano'

    Inawezekana siasa ni mchezo mchafu sana Haina Rafiki wa kudumu Wala adui wa kudumu
  7. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Je,BOSI NDIYE ALIYETAKA MABADILIKO?. Ona sehemu ya kilichoandikwa.

    Swali la kujiuliza hapo ni mabadiliko yepi ambayo rais anafikiria kuyafanya Hadi makamu kujihudhuru
  8. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Nani anafaa kuwa Makamu wa Rais mpya wa Tanzania?

    Biteko au bashe!
  9. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Watu wa Kusini mwa Tanzania wako wapi kwenye hii nchi?

    Kwa Ruvuma baadhi ya wilaya na halimashauri za miji zinauchumi na zinanitosheleza ndio maana huwezi kusikia viliovilio kama kwingine....mfano Mbinga vijijini,madaba ,Mbinga mjini ,Songea mjini na vijijini uchumi wa mtu mmoja mmoja upo
  10. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Mwanamke kuomba na kutegemea pesa za mwanaume ni ishara ya umasikini au wajibu wa wanaume?

    Ni kwasababu wanaume tumesahau wajibu wetu au hatuwajibiki
  11. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Mpenzi wako haogopi kuchepuka, anaogopa ukijua kuwa anachepuka

    Aiseeeeeee sawa kiongozi
  12. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Nikiwa na njaa tumbo linauma na kuwaka moto nakuwa mgonjwa ghafla. Msaada wakuu

    Huenda unavidonda vya tumbo ila kwa maelezo zaidi tembea hospital iliyopo karibu nawe kwa ushauri zaidi
  13. Alex24hrs

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenye makalio makubwa hawapatani na wanaume wenye mafanikio makubwa sana?

    Ni kweli ila sisi sasa wenye mafanikio haba au tunaostruggle kichwa Cha chini kinavurugwa kabisa
Back
Top Bottom