Hivi hawa wabunge walikua na kura zenye baraka toka kwa wapiga kura, leo hii unarudi bungeni na kura zenye laana na utadhubutu kuapa na vitabu vitakatifu???
Elewa kua UTI ni mkusanyiko wa magonjwa yote yanayoathiri mfumo wa mkojo ikiwemo kichocho,kisonono ,tricomonas,kaswende nk.Hivo bas unapopimwa kimaabara haupaswi kuambiwa tena neno UTI--(urinary tract infections) majibu ya maabara yaonyeshe mojawapo ya ugonjwa katika hilo kundi la uti. Ili uweze...
Kilichopigwa marufuku ni yale matangazo ya promotion kuuza vitu ndani ya basi kwakutangaza kaa mnada na mahubiri ya ghafla kukemea mapepo baadae sadaka kukusanywa vinakera sana!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.