Hello! JF,
Kwa majina naitwa Alex Hamis, ni mwanafunzi wa chuo kidogo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha lakini kwa upande mwingine ni kijana ambaye napenda kujishughulisha na ujasiriamali, hivyo nimekuwa nikifuatilia fursa mbalimbali za kibiashara na kutokea kupata nyingi lakini...
Hujaweka wazi ndugu kuwa unatafuta Scholarship ya aina gani.. Mfano Undergraduate,Masters au PhD,pia hujatufahamisha wewe upo level gani kwa sasa na pia hiyo scholarship ni ya nchini au nje ya nchi.. Nadhani ukielezea vizuri utapata msaada kwa haraka
Habari wana JF!..
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kidogo jijini Arusha ambaye nimekuwa na wazo la kuanzisha biashara itakayonipatia kipato endelevu bila kuathiri masomo yangu lakini "Mtaji" umekuwa kikwazo na changamoto kwangu... Tafadhali kwa yeyote ambaye anaweza kunishauri ni kwa vipi naweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.