Msaaada scholarships

Msaaada scholarships

tunage

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
252
Reaction score
168
Habari zenu wakuu naombeni msaada anaejua jinsi yakuapply scholarships na ikiwezekata link zake
 
Hujaweka wazi ndugu kuwa unatafuta Scholarship ya aina gani.. Mfano Undergraduate,Masters au PhD,pia hujatufahamisha wewe upo level gani kwa sasa na pia hiyo scholarship ni ya nchini au nje ya nchi.. Nadhani ukielezea vizuri utapata msaada kwa haraka
 
Dah! afadhari kuna scholarship ya chuo fulani hapa nje ya nchi imekosa watu kabisa, hebu ni PM nikuunganishe mkuu.
 
Dah! afadhari kuna scholarship ya chuo fulani hapa nje ya nchi imekosa watu kabisa, hebu ni PM nikuunganishe mkuu.
Hahaha mkuu hebu itaje tuone kama kuna uwezekano wa kukuPM. Watu tuna first class degree hapa. Fresh kabisa ya mwaka jana
 
Back
Top Bottom