Moja kwa moja naenda kwenye Hoja,
Watanzania tuchangamkie Fulsa Tele ambao zimejaa nchini ili Sisi wenyewe Tumiliki Uchumi
Tuache kulalamika au kubagaza wenzetu kama kina Rostam ambao wanachangamkia Fulsa na kuwekeza, Zaidi Watanzania wenzetu wanapata Ajira za kutosha na Serikali kupata...
Amen kwa Ujumbe Mzuri wa kutukumbusha, Nashukuru Mungu Nimeokoka na nasikia Aman ndani ya Yesu,Yesu Kristo wa Nazareth Aliye Hai Ndiye Njia Kweli na Uzima Yohana sura 14 Mstari 6
Kwako MH Rais Wetu MH Samia S Hassan
Awali ya yote pole Sana na majukumu ya Kitaifa ya kila siku
Nikuombe Sana MH Rais ukipata muda uwe na Mkutano Mkuu wa Kitaifa na Wananchi wako,Iwe Dar es salaam, Dodoma au Zanzibar
Agenda kuu itakuwa moja Tu,
Kusikiliza maoni ya Wananchi na kuboresha...
Nchi Yetu Tanzania Kupitia Katiba yetu tumeruhusu mfumo wa Vyama vingi na Uchaguzi wa Kwanza wa Mfumo wa Vyama vingi tumeanza 1995
Toka miaka hiyo tumeshuhudia minyukano ya kisera na kiitikadi kwenye Vyama vyote
Pia tumeshuhudia minyukano ya wanasiasa na Wanaharakati kwenye medani za Kisiasa...
Hilo swala la Kiroho Tafuta Kanisa la Kiroho mtoto aombewe, Hizo madhabahu na maroho ya familia. Zaburi 11 mstari wa 3 Misingi ikiaribika mwenye Haki atafanya nini? Pole Sana Lakini Kwa Mungu hakuna lisilowezekana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.