Huu ni Utaratibu wangu wa miaka kuna kipindi niliacha nikawa juani mbaya. Miaka ya hivi karibuni tena kwakweli namuona Mungu Sana,na Kibiblia tunatoa kwasababu tunampenda Mungu kwahiyo tunatoa kwa Furaha
Rais awali ya yote natumai, natumaini na ni matumaini yangu umzima wa Afya,
Mwaka jana Wananchi hasa Sisi wenye watoto wadogo tilipata mshituko kidogo kusikia NHIF wametoa Kifurushi cha Toto Afya na kuweka utaratibu mpya
Utaratibu mpya wa sasa wa"Toto Afya"unapatikana kupitia mashuleni tu, Na...
Leo Majira ya Asubui nimepata wasaa mzuri wa kutembelea Eneo la mbezi Magufuli stand na badae kuanza safari yangu kuelekea Mkoani Morogoro..
Nilichokiona kwa muda Mfupi , Barabara ya Mbezi kwenda Morogoro imezidiwa vya kutosha na foleni za magari
Hapo kama ikitokea "Ajali basi tatizo linakuwa...
Serikali kupitia Waziri wa Viwanda anatakiwa kutupia Jicho la Tai pale Msajili wa Makampuni(BRELA)
Leo Majira ya saa Saba za mchana nilienda BRELA kupata Huduma lakini Jambo la kushangaza na kusikitisha eti ikifika saa Saba kamili wanafanyakazi Karibu wote wanaenda kupata mlo wa Mchana
Kwahiyo...
Siku za hizi karibuni tumeona wimbi kubwa ya wezi kuvamia nyumba za Watu na kuiba vifaa vya magari
Majuzi maeneo ya Bunju maeneo ya Watumishi Housing. Mabwepande, Manzese nyumba Zaidi kumi wamekutana na "Kadhia' hii za magari yao kuibiwa vifaa
Kila uchao tunaona wezi hawa ndo wanazidi na sioni...
Miezi ya hivi karibuni tumeona machafuko Duniani hasa Vita kati ya Urusi na Ukraine, siku siku chache za hivi karibuni tumeona hali tete ya Israeli na Palestina na kulipotiwa maelfu wakipoteza Maisha.
Vita hizi za Mataifa makubwa pomoja na kuleta madhara makubwa Kwa Nchi husika lakini tunaona...
Miaka ya hivi karibuni tumeona Mamlaka ya Mapato (TRA) kupitia Task Force ikifunga ACC za wateja mbali mbali
Hivi karibuni tulipata habari njema kupitia Mh Rais na Mh Waziri Mkuu kwamba Task Force iache kufunga ACC za wateja bila Sababu za msingi
Naandika waraka huu Kwako MH Rais au MH Waziri...
KAZi ikianza na kuisha mapema litasadia maana kuna foleni kutoka Tegeta mpka Bunju B..
Kwahiyo hilo dalaja likikamilika watu wengi wanaonda Bagamoyo watapita njia hiyo
Kongole Kwa kutumia Jicho la Tai kuona mwenendo wa Uchaguzi 2025..
MH NWM Biteko ni pia hana makundi yoyote kwahiyo MH Samia katumia hiyo karata kupata Kura za kutosha hasa Kanda ya Ziwa ambapo ndio sehemu pekee inayoamua Nani awe Rais kwa wingi wa Kura zao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.