Bado tuna safari ndefu.
Mradi wa trilioni Moja nao tufanye kwa ubia fedha ambayo hailipwi in a single day.
Hiyo barabara kwa sasa imezidiwa.
kwani hatuna vipaumbele
Ndugu mleta mada hayo mambo unayotaka yajadiliwe nje ya michezo utaishia kutekwa tu.
Mfano masaa yanayotumika kujadili mpira uyatumie kujadili Elimu yetu Tz, Uchumi wetu au siasa soon tutaambiwa ulichukuliwa na wasio julikana.
Nani anachukuliwa na wasio julikana kwa kujadili mpira?
Bora hata Dodoma Kuna Open space Nyerere square. Unaweza ukasogea hapo ukapumzika.
Miji mingine hakuna hicho kitu Kila sehemu kumejazana nyumba tu Mji haupumui.
Ukitaka kupumzika tofauti na nyumbani kwako inakulazimu uende sehemu za kulipia kama Bar
Mfumo wetu wa Elimu ndiyo unatupeleka kwenye hali hii.
China wame-advance technology kupitia Elimu yao kunakowawezesha kuzalisha kwa wingi kupitia technology waliyo nayo na Sasa wanatafuta soko la bidhaa zao.
Hicho kituo kitumike kuuza bidhaa za Tanzania nje ya nchi kwa bidhaa zipi...
Mji umejaa guta na Bowser zinazouza maji. Mabomba hayatoi maji hayo maendeleo yapi aliyoleta maji ni changamoto ya kudumu miaka nenda rudi. Miundombinu ya shule ya ni chakavu kupitiliza. Labda kaleta maendeleo ya familia yake.
Wananchi Hatujitambui tupo busy na mpira na kubet.
Media nazo zimekuwa programmed kutwa nzima uchambuzi wa michezo, kusifu awamu iliyopo madarakani na kutangaza michezo ya kubahatisha.
Cha kufanya tuache woga na tujitambue.
Nchi ni yetu sote. Wananchi tukijitambua hakuna nguvu itakayoishinda...
Hizo nyumba 100 hazikujengwa siku moja. Anaejiita Mmiliki wa Ardhi alikuwa wapi wakati makazi ya watu yanajengwa kwenye eneo lake!!
Kubomoa nyumba 100 kwa ajili ya mtu mmoja hapana.
Kama Sheria zetu zinasimamiwa ipasavyo mbona Kuna race hazipo kwenye magereza yetu au wao hawafanyi makosa!
Go...
Kabisa King cross, safari ilikuwa ndefu sana ile kwenye zile kona mnatumia saa zima bado mnahangaika na kona ikitokea gari nyingine lazima msimame ili muweze kupishana, saizi lami hata kona zimepungua na barabara imekuwa pana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.