Recent content by aleesha

  1. aleesha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia: Nawapongeza Wanzanzibar, Tumefanya uchaguzi hakuna aliyenyukuliwa

    Wallah Mama Samia unanipa raha sana wakati watanganyika wakiendela na malalamiko sisi tubaendelea kuijenga Zanzibar yetu na nakuomba kabla ya kuondoka Madarakani kidhibiti kisiwa hiki waingie kwa passport huku, sasa hivi ulinzi mkali kuingia Zanzibar ila uimarishe mara mbili
  2. aleesha

    JamiiForums Tanzania CHADEMA walikosea kukubali kuichoma nchi wanayotaka kuiongoza

    Sasa waliotawala nchi wamechukua hatua stahiki za kulinda miundombinu yake, na tumeiona faida yake juzi 77 hakuna kima alojaribu kutoa pua yake
  3. aleesha

    JamiiForums Tanzania Mnyika: Maridhiano ACT na CCM Zanzibar ni unafki na danganya toto Watanzania kuona nchi ina maridhiano

    Sasa nyinyi mambo ya Zanzibar yanawahusu na Nini ? Mumeshupaza mishingo kutaka kuiharibu Zanzibar, Zanzibar itueko na itaendelea kuwepo Vichogo hi
  4. aleesha

    JamiiForums Tanzania ZANZIBAR, FIFA NA KANUNI YA MWAKA 2004: JE, HOJA IMEFUNGWA AU BADO IPO WAZI?

    Mara nyingi hoja ya Zanzibar kujiunga na FIFA hukataliwa kwa kutajwa mabadiliko ya kanuni za FIFA yaliyofanyika mwaka 2004. Ni kweli kwamba mwaka huo FIFA ilifanya marekebisho ya tafsiri ya neno “nchi” (country) na kuweka msimamo kwamba mwanachama mpya anapaswa kuwa dola huru inayotambuliwa na...
  5. aleesha

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anza kuandaa mlio utakaolia baada ya kuachia Ikulu

    Justice kwa watu waliuwawa Zanzibar mwaka 2001
  6. aleesha

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akizindua Hoteli ya Jaz Elite Aurora, Zanzibar

    Kwani vichogo munataka Nini haswa naona vilio Kila siku
  7. aleesha

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akizindua Hoteli ya Jaz Elite Aurora, Zanzibar

    Wiki nzima hii mlikua munataka Raisi aje hadharani Leo amekuja hadharani munakuja na hoja nyengine maana hata zile hoja za AI hazipo
  8. aleesha

    JamiiForums Tanzania Visiwani Kunani?

    Nitarejea Tena na Tena kwa kile kionjo mlichokipata Watanganyika 29/10. Nina uhakika hakuna atakaerejea upuuzi ule warudi tu wenyewe kina Sarungi ambao wana kijiba Cha roho zidi ya Wazanzibari
  9. aleesha

    JamiiForums Tanzania Somo la HAKI na AMANI kwenye mchezo wa TANZANIA Vs MOROCCO

    Nyie vichogo acheni zenu, nyie na mpira wapi na wapi? Kwanza hamuna ajili ya mpira kazi munawasa sembe tu na bia. Mfano Goli la wazi alilokosa Msuva mwisho wa upeo wa akili yake ndipo ulipoishia 🤣🤣 Watanganyika bana
  10. aleesha

    JamiiForums Tanzania Je, WAVUVI CAMP hii aibu kwa jamii wanayofanya mchana kweupe wapo juu ya Sheria?

    Hayo sasa ndo mambo yenu mnayoyaweza Watanganyika 🤣
  11. aleesha

    JamiiForums Tanzania D25 wananchi tutaandamana kushinikiza usitishwaji wa mauwaji na utekaji nchini sisi hatukubaliani nayo na lazima wahusika tuwawajibishe

    Munajifanya vichwq ngumu sio ila kwa ninavowajua mie vichogo tangu siku Ile walobeep na wakapigiwa October 29 naamini hawatokuja kurejea Tena
  12. aleesha

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Mabinti wanafanya kazi uarabuni wanateseka hawana msaada Ubalozi wako kimya!!

    Munataka mulete tabia zenu za kitanganyika huku sio Zanzibar
  13. aleesha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Je, wakiandaa maandamano ya siku 100, au siku 365 au siku 730 bila kikomo, hali itakuwaje?

    Kwa Ile sindano ilivyowaingia last time sidhani kama mtathubutu kurejea ule upuuzi
  14. aleesha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Baada ya Vyombo vya Dola kuandamana zaidi ya wiki, sasa DJ anawaleta Watanzania. Mtulie kama sisi tulivyotulia wakati wenu

    Jitoeni ufahamu Watanganyika mukione Cha mtema kuni, ila kwa ninavowajua nyinyi kile kisago mlichokipata hamtothubutu kuingia barabarani. Lazima mutii mamlaka mtabakia kuandamana mitandaoni tu 🤣
  15. aleesha

    JamiiForums Tanzania Watanzania wenzangu naomba tutumie busara kwenye uwasilishaji wa hisia zetu hususani kwenye maneno tunayoongea

    Hahaha liangalie hili litwana la kitanganyika eti linanipa Mimi mikwala, hiyo ndo hulka yenu kutumia mabavu Wacha mnyooshwe
Back
Top Bottom