Haondoki mtu hapa na In shaa Allah ikifika 2030, atagonbania Tena kwa sababu kutoka 2021 Hadi 2025, Ile alimshikia Hayati Magufuli hesabu yetu imeanzia 2025.....
Mama oyeeee!
Asiempenda Mama Allah akupa uhai tukutane 2035
Huyo siyo kada wa Ccm bali Hilo ni jitu lenye wivu na udini, makada wa kweli haswa wa CCM wako kizimkazi wakifurahia tamasha la kizimkazi mwaka huu wenye wivu watahara sana
Wallah Mama Samia unanipa raha sana wakati watanganyika wakiendela na malalamiko sisi tubaendelea kuijenga Zanzibar yetu na nakuomba kabla ya kuondoka Madarakani kidhibiti kisiwa hiki waingie kwa passport huku, sasa hivi ulinzi mkali kuingia Zanzibar ila uimarishe mara mbili
Mara nyingi hoja ya Zanzibar kujiunga na FIFA hukataliwa kwa kutajwa mabadiliko ya kanuni za FIFA yaliyofanyika mwaka 2004. Ni kweli kwamba mwaka huo FIFA ilifanya marekebisho ya tafsiri ya neno “nchi” (country) na kuweka msimamo kwamba mwanachama mpya anapaswa kuwa dola huru inayotambuliwa na...
Nitarejea Tena na Tena kwa kile kionjo mlichokipata Watanganyika 29/10. Nina uhakika hakuna atakaerejea upuuzi ule warudi tu wenyewe kina Sarungi ambao wana kijiba Cha roho zidi ya Wazanzibari
Nyie vichogo acheni zenu, nyie na mpira wapi na wapi? Kwanza hamuna ajili ya mpira kazi munawasa sembe tu na bia. Mfano Goli la wazi alilokosa Msuva mwisho wa upeo wa akili yake ndipo ulipoishia 🤣🤣 Watanganyika bana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.