Nitarejea Tena na Tena kwa kile kionjo mlichokipata Watanganyika 29/10. Nina uhakika hakuna atakaerejea upuuzi ule warudi tu wenyewe kina Sarungi ambao wana kijiba Cha roho zidi ya Wazanzibari
Nyie vichogo acheni zenu, nyie na mpira wapi na wapi? Kwanza hamuna ajili ya mpira kazi munawasa sembe tu na bia. Mfano Goli la wazi alilokosa Msuva mwisho wa upeo wa akili yake ndipo ulipoishia 🤣🤣 Watanganyika bana
Jitoeni ufahamu Watanganyika mukione Cha mtema kuni, ila kwa ninavowajua nyinyi kile kisago mlichokipata hamtothubutu kuingia barabarani. Lazima mutii mamlaka mtabakia kuandamana mitandaoni tu 🤣
Watanzania wenzangu naomba tutumie busara kwenye uwasilishaji wa hisia zetu hususani kwenye maneno tunayoongea.
Ni kweli tumeumbwa tofauti kila mmoja ana namna yake ya mihemuko na hasira lakini tuangalie hasara za baadae ambazo tutakuwa tumeziumba sisi wenyewe kutoka kwenye Vinywa vyetu...
Sasa wale kina sarungi, kimambe, sativa wenye choyo zidi ya wazanzibari wako wapi? Waliokuhamasisheni mukaingia kichwa kichwa wamekuja na ajenda Gani sasa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.