Recent content by aleesha

  1. aleesha

    Rais Samia anza kuandaa mlio utakaolia baada ya kuachia Ikulu

    Justice kwa watu waliuwawa Zanzibar mwaka 2001
  2. aleesha

    Rais Samia akizindua Hoteli ya Jaz Elite Aurora, Zanzibar

    Kwani vichogo munataka Nini haswa naona vilio Kila siku
  3. aleesha

    Rais Samia akizindua Hoteli ya Jaz Elite Aurora, Zanzibar

    Wiki nzima hii mlikua munataka Raisi aje hadharani Leo amekuja hadharani munakuja na hoja nyengine maana hata zile hoja za AI hazipo
  4. aleesha

    Visiwani Kunani?

    Nitarejea Tena na Tena kwa kile kionjo mlichokipata Watanganyika 29/10. Nina uhakika hakuna atakaerejea upuuzi ule warudi tu wenyewe kina Sarungi ambao wana kijiba Cha roho zidi ya Wazanzibari
  5. aleesha

    Somo la HAKI na AMANI kwenye mchezo wa TANZANIA Vs MOROCCO

    Nyie vichogo acheni zenu, nyie na mpira wapi na wapi? Kwanza hamuna ajili ya mpira kazi munawasa sembe tu na bia. Mfano Goli la wazi alilokosa Msuva mwisho wa upeo wa akili yake ndipo ulipoishia 🤣🤣 Watanganyika bana
  6. aleesha

    Je, WAVUVI CAMP hii aibu kwa jamii wanayofanya mchana kweupe wapo juu ya Sheria?

    Hayo sasa ndo mambo yenu mnayoyaweza Watanganyika 🤣
  7. aleesha

    D25 wananchi tutaandamana kushinikiza usitishwaji wa mauwaji na utekaji nchini sisi hatukubaliani nayo na lazima wahusika tuwawajibishe

    Munajifanya vichwq ngumu sio ila kwa ninavowajua mie vichogo tangu siku Ile walobeep na wakapigiwa October 29 naamini hawatokuja kurejea Tena
  8. aleesha

    DOKEZO Mabinti wanafanya kazi uarabuni wanateseka hawana msaada Ubalozi wako kimya!!

    Munataka mulete tabia zenu za kitanganyika huku sio Zanzibar
  9. aleesha

    PostGE2025 Je, wakiandaa maandamano ya siku 100, au siku 365 au siku 730 bila kikomo, hali itakuwaje?

    Kwa Ile sindano ilivyowaingia last time sidhani kama mtathubutu kurejea ule upuuzi
  10. aleesha

    PostGE2025 Baada ya Vyombo vya Dola kuandamana zaidi ya wiki, sasa DJ anawaleta Watanzania. Mtulie kama sisi tulivyotulia wakati wenu

    Jitoeni ufahamu Watanganyika mukione Cha mtema kuni, ila kwa ninavowajua nyinyi kile kisago mlichokipata hamtothubutu kuingia barabarani. Lazima mutii mamlaka mtabakia kuandamana mitandaoni tu 🤣
  11. aleesha

    Watanzania wenzangu naomba tutumie busara kwenye uwasilishaji wa hisia zetu hususani kwenye maneno tunayoongea

    Hahaha liangalie hili litwana la kitanganyika eti linanipa Mimi mikwala, hiyo ndo hulka yenu kutumia mabavu Wacha mnyooshwe
  12. aleesha

    Watanzania wenzangu naomba tutumie busara kwenye uwasilishaji wa hisia zetu hususani kwenye maneno tunayoongea

    Watanzania wenzangu naomba tutumie busara kwenye uwasilishaji wa hisia zetu hususani kwenye maneno tunayoongea. Ni kweli tumeumbwa tofauti kila mmoja ana namna yake ya mihemuko na hasira lakini tuangalie hasara za baadae ambazo tutakuwa tumeziumba sisi wenyewe kutoka kwenye Vinywa vyetu...
  13. aleesha

    GE2025 Baadhi ya wananchi wakiwapelekea Polisi maiti ya waandamanaji waliopigwa risasi

    Sasa wale kina sarungi, kimambe, sativa wenye choyo zidi ya wazanzibari wako wapi? Waliokuhamasisheni mukaingia kichwa kichwa wamekuja na ajenda Gani sasa?
  14. aleesha

    GE2025 Octoba 30 ya damu. Nilishuhudia maiti zikitelekezwa njiani siku tatu mfululizo

    Kuharibu Mali za watu munaita maandamano, siku ya pili mukiambiwa mtaxhanganya na za kwenu
  15. aleesha

    GE2025 Updates: Matukio muhimu kuhusu Maandamano ya tar. 29 Oktoba 2025

    Mangapi mliyasema kuhusu siku ya Leo? Muko wapi??
Back
Top Bottom