Recent content by albinomweusi

  1. A

    Mwalimu wa kubadilishana nae

    Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae idara ya sekondar aje geita- katoro niende Moro,dar au pwani
  2. A

    JKT wa kujitolea nafasi zinatoka lini tena?

    kaka kujitolea jkt wanachukuaga mara moja kwa mwaka hivyo mpaka mwez wa 4 kama ilivyo mwaka huu walitoa nafasi mwez wa 4 vuta subira kk
  3. A

    LAPF waanza kuita watu kwenye interview

    compliance officer wengine wameambiwa dodoma wapigie cmu kk usirelax
  4. A

    Nafasi ya ualimu wa private au serikalini

    vizuri kijana wote ni wale wale tu,ila yote mtoa mada asubiri ajira za serikali
  5. A

    Shift in charge ana majukumu gani TANROADS

    nimekuelwa kaka hizo scale zao ni kama sh ngap
  6. A

    Shift in charge ana majukumu gani TANROADS

    wadau vip...eti shift in charge inahusika na nn na malipo yake yanakuaje.tusaidiane kwa mwenye ufahamu kwa hili
  7. A

    Graduate, diploma na cheti wanaenda JKT kwa mujibu wa sheria mwaka huu???

    kwa wale ambao fm6 hawakwenda jkt na wamegraduate ndo tunazungumzia hapa..
  8. A

    Graduate, diploma na cheti wanaenda JKT kwa mujibu wa sheria mwaka huu???

    soma uzi vizur uelewe uckurupuke kama haujackia hiyo inshu wache wengine watuambie kama kuna ukweli
  9. A

    Graduate, diploma na cheti wanaenda JKT kwa mujibu wa sheria mwaka huu???

    Wadau habari zenu.... embu tusaidiane na kujuzana kuwa graduate diploma na certificate wanaenda jkt kwa mujibu wa sheria na post zao zinatokea huko huko jeshini. Nimeckia diploma na certificate wameshathibitisha kwenda huko jkt
  10. A

    Nafasi TPDF

    we jamaa embu acha kudanganya watu bhac now tpdf hawaajir kutka mtaani aidha utokee jkt au mwanajeshi aliyejiendeleza akagraduate wawaache hao waajir mtu kutoka mtaani acha mambo yako kijana
  11. A

    Picha:JKT kwa mujibu wa sheria!!!!

    wanaume kazini ...Big up tunakuja huko...
  12. A

    Picha:JKT kwa mujibu wa sheria!!!!

    mfumo utampeleka ndugu
Back
Top Bottom