Recent content by Alberto Dominicos

  1. Alberto Dominicos

    Kutumia umeme units 75 kwa mwezi(tariff 4) ni kujidanganya ama kudanganya

    Nimeipata hii sehemu, KUBADILISHA TARIFF KWA WATEJA Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linapenda kuwataarifu wateja wake wote wa maeneo ya vijijini kuwa kuanzia tarehe 20 Januari, 2016 wateja wote wa maeneo ya vijiji watakaounganishiwa umeme kwa kutumia njiamoja (single phase) wataingizwa...
  2. Alberto Dominicos

    Kutumia umeme units 75 kwa mwezi(tariff 4) ni kujidanganya ama kudanganya

    Units 75 kwa mwezi ni nyingi sana, nadhani alikuwa anamaanisha units 75 kwa miezi 3, yani 25 units kwa mwezi, hapo ndio kimbembe😂😂
  3. Alberto Dominicos

    Formula 1® Grand Prix special thread

    Maana itaboa tena. Umesikia tetesi gani kuhusu gari ya verstappen? Ilipata hitilafu au ni mchecheto wa kumpita Lewis?? Dahh ndoo ilikuwa yake kabisa leo
  4. Alberto Dominicos

    Ufafanuzi: Kuvunjwa Halmashauri ya Jiji la Dar kuipandisha hadhi Halmashauri ya Manispaa ya Ilala kuwa Jiji

    Mkuu hapa mwishoni unachanganya, tuchukue mfano kuna mikoa inaperform kuliko mingine : mfano Mwanza, Kwa kufuatisha sentensi yako unamaanisha "Mkuu, Nchi ya Tanzania kwa sasa itakuwa ni mkoa wa Mwanza tu?
  5. Alberto Dominicos

    Jinsi mapenzi ya mtoto wa Kizulu Durban South Africa yalivyotaka kunitoa roho

    kishaija konda msafi njia nzuri ya kupata episode zote kwa urahisi ni kubonyeza profile ya konda msafi uende kwenye posts zake utapata zote alizoandika yeye tu bila kuruka, nimeanza kupitia leo asubuhi episode 1 mpaka saivi mchana nimemaliza zote, unasoma bila comments za watu wengine (ingawa...
  6. Alberto Dominicos

    Ni App(s) gani bomba ambayo unajivunia katika simu yako?

    Kweli mkuu huyo mtu ni wa muhimu sana!
  7. Alberto Dominicos

    Ni App(s) gani bomba ambayo unajivunia katika simu yako?

    Vipi kuhusu simba na yanga kuna app unaweza chekia mechi online.. msaada
  8. Alberto Dominicos

    Ni App(s) gani bomba ambayo unajivunia katika simu yako?

    Vipi kuhusu simba na yanga kuna app za kuweza kucheki online..
  9. Alberto Dominicos

    Ni Apps gani za kupakua nzuri, best of the best huwezi kosa kwenye smartphone yako?

    Mkuu nimesearch zimekuja kama 10 ivii..msaada kwenye tuta unaweza share icon yake.. Natanguliza shukran
  10. Alberto Dominicos

    Fremu Inapangishwa

    Ndio boss, ya kwangu mwenyewe.
  11. Alberto Dominicos

    Fremu Inapangishwa

    Picha yake
  12. Alberto Dominicos

    Kiwanja cha biashara kinapangishwa

    Kiwanja kinapangishwa barabarani eneo la buyuni kuelekea Chanika ukubwa wa sqm 1300 bei 400,000 kwa mwezi. Mawasiliano 0784336063
  13. Alberto Dominicos

    Fremu Inapangishwa

    Fremu Inapangishwa Mbezi Beach Interchick kituoni ukubwa wa 32 sqm kodi yake 350,000 kwa mwezi. Mawasiliano 0784336063
Back
Top Bottom