Habari zenu wakuu baada ya miaka mingi ya elimu sasa umefika wakati wa mimi hapa kijana wenu kupanda jukwaani kwa ajili ya kuomba connection pamoja na kazi ikiwezekana
Nimemaliza mwezi huu katika chuo kikuu cha sokoine cha kilimo nimesoma shahada ya sayansi katika uchumi kilimo na kilimo...
Habari za wakati huu wanajukwaa mimi ni mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Sokoine nasoma Bachelor ya science ya Agricultural Economics and Agribusiness umri wangu ni miaka 21.
Kwa sasa nipo Morogoro nahitaji Kazi ya muda katika kipindi hiki cha miezi mitatu ya likizo popote pale.
kwa yeyote mwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.