SEHEMU YA TATU
WAZIRI MKUU,
BARAZA LA MAWAZIRI NA SERIKALI
Waziri Mkuu
51.-(1) Kutakuwa na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano atakayeteuliwa na Rais kwa kufuata masharti ya ibara hii na ambaye kabla ya kushika madaraka yake ataapa mbele ya Rais kwa kiapo
kinachohusika na kiti cha Waziri Mkuu...
Kaka Allen Kilewella nikupongeze kwa kuanzisha hoja hii chokonozi, nawapongeza wakuu Kijakazi , macho_mdiliko na wengine wenye michango chanya
Nadhani shida siyo nafasi ya waziri mkuu bali tatizo linaanzia kwenye bunge, yani 'Majority' hivyo kumfanya ndugu waziri mkuu kuwa kama kipaza sauti ama...
Anchor yourself man! Usiyumbe sana.
Kujizuia ni wajibu wako kwasababu una malengo. Mwanamke anakutegemea wewe utumie akili zako kwasababu kikishanuka utaskia 'we ndo umesababisha' kama kwa mzee wetu Abraham, mpaka leo damu yake inachapana hapo middle east kama hawana akili nzuri.
Adam, Samson...
Hahahah umeandika kwa hasira sana mkuu. Hilo la leseni lisingewezekana sababu kuzaa ni haki ya asili (natural right), ila unaweza kucontrol kama China walivyofanyaga ile ya kuzaa mtoto mmoja sababu walikuwa na target zao and you can see where they landed.
Tulikuwa na jando na unyago enzi tuna...
Dada mmoja mtoto hayati J P Magufuli amewafanyia utafiti hawa watoto na ameandika kitabu kabisa. Sababu kubwa katika mahojiano yao ni migogoro ya kifamilia, inasikitisha sana mkuu.
Sahihi kabisa katika umri huo kwa asilimia kubwa mwanaume anakuwa na ukomavu wa kutosha.
Wengi kutoka mataifa makuu kiuchumi duniani wameoa katika umri huo, niligundua hili nikiwa tour guide.
Lakini Mwanaume akiandaliwa vizuri anaweza kuoa kwanzia 25, zingatia KUANDALIWA mfano Mo Dewji
Umehitimisha vizuri, MWANAUME
Sio kuzaa tu bali kuzaa ukiwa kwenye taasisi kuu (familia). Baba ndio anaamua kuoa, ndio mwanzilishi wa famila kuanzia kuchagua spouse, kuwa na mission, vision na strategy kama tu ilivyo taasisi ama kampuni nyingine yenye weledi.
Baba ni protector spiritually...
Hoja yako ni nzuri ila hapo 'watakuja kukusaidia baadae' ndo napingana napo.
Kuzaa ni hitaji la kila kiumbe hai, ila kwa sisi binadamu kwakuwa tuna akili tumewekeana taratibu/sheria, vizingiti/vizuizi kwasababu za ubinafsi.
Laiti kama hatungekuwa na choyo, tukawa na upendo wa kweli basi kila...
Logikos
Who are we to judge?
it is not selfish nor heroic
She's not a materialist nor a martyr
IT'S JUST HER CHOICE, every one has theirs.
Charles the III asingekuwa King Leo hii kama babu yake mkubwa hakufanya 'choice yake mwenyewe'
naa vipi huyu 'better option' akifilisika to negative digits kabisa au akiparalyse completely, unaendelea nae au utaruka na 'ndege' mwingine atakayeweza kufulfill your financial 'necessities' kama mtoa Mada alivyoziweka?
Nadhani kuwashindanisha hawa baba zetu sio sahihi kwani mashindano baina yao wenyewe na wengine ni moja ya sababu kubwa zilizopelekea maanguko/kushindwa kutimiza ndoto zao na kutufikisha 'caanan'. Inflated ego, excessive ego
Afrika inahitaji zaidi ushirikiano ili kujenga nguvu moja kubwa...
Kuhusu population hakuna asiyejua hilo,
Unaposema kwamba 94% ya wachina wamekusanyika mashariki ya China 'kwakuwa ndipo yalipo majiji makubwa' Je inamaana kuwa wamarekani 'kusambaa Marekani nzima' ni kwasababu majiji makubwa ya marekani yamesambaa Marekani nzima? Kama ndivyo basi KUDOS...
Ukishasema rural inakuwa sio 'sub-urban' tena, hakuna access to high end amenities. Kubali hii lifestyle sio culture ya wachina, ni Kwa matajiri wakubwa sana na wachache wanaoweza kuafford such kinda life in China wakati Marekani ni middle class lifestyle.
Nilichomekea "Nje ya mada' kwa makusudi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.