Mleta mada jaribu kufikiri na kujadili issues ndani ya nafsi yako kwanza kabla ya kuweka kwenye maandishi. Aisee umejiaibisha mpaka naona aibu na hata sikufahamu. Ndugu acha kurukia mambo usiyokuwa na weledi nayo
Ikumbukwe kwamba Raila alimtembelea Magufuli. Sasa Lowassa kaambiwa......."ukirudi huko nyumbani waambie kiti ni cha moto lakini nimekikalia sawasawa."
My take.......nadhani Uhuru anasema......challenge ipo kubwa kutoka kwa wapinzani lakini yeye anajihami kubaki madarakani.
Hili litakuwa dongo...
Ngoje nikupe advice.........siyo maji tu yatayokusaidia kuepusha constipation. Kikubwa zaidi ni kula fibrous foods. Yani vyakula vyenye fibers sana. Usile vyakula vilivyokobolewa maana havina fibers na fibers ndiyo huzuia chakula kuwa kikavu wakati kinasagwa tumboni.
Kula ugali wa dona...
Akili ndogo ni akili ndogo tu. K
Mkuu Pasco umejaribu kuchanganua vyema na nina shukuru sana lakini hii dhana ya serikali zetu za Kiafrika kuwa zina tupilia mbali uongozi wa kisheria ni janga litakaloendelea kututafuna kupata maendeleo ya kweli katika utawala bora.
Kwa maoni yako........unadhani shutuma za viongozi wa upinzani dhidi ya rais na serikali yake kwamba amevunja/imevunja katiba ni tuhuma dhahiri zenye miguu?
Sawa wewe Pasc
Kwanza kabisa lazima utambue kuwa......suala la maandamano ni haki ya mtu yeyote kikatiba. Nimeshangaa sana pia kuona una encourage violence against the citizens from the police.
Ukweli
Ukweli siyo lazima ushikiliwe na wengi. Kikubwa ni kwamba ameliona hilo. Wewe kwa uelewa mdogo unaona ni jambo dogo lakini kiuhalisia.....rais ameharibu sana hapo.
Siwezi kusifia kumpa mzee $9 kwa mwezi hata kidogo. Mleta mada ameshindwa kugeuza hiyo $9 kwenye hela yetu kwa sababu anajua ni kiasi duni sana.
Haya ngoja tuingie kazini tuone kiasi wanachopata.
$9 kwa tsh ni 19800 kwa mwezi.
Kwa siku ni 19800/30 ambayo ni tsh 660.
Sasa mzee wa watu hana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.