Recent content by Al_maktum

  1. A

    Msaada: control number request DIT inasumbua

    Kwa aliyefanikiwa kuapply dit hyo control namb ilifika baada ya muda gani,,Mimi nimerequest masaa matatu saizi sioni kinachoendelea
  2. A

    Kwanini unaruhusu madalali nje ya duka lako?

    Madalali wa karume, kkoo wanaudhi, mda mwingine afadhali ukanunue kitu mlimani city hata Kama Bei kubwa lakini kizuri kuliko kuibiwa na hawa
  3. A

    Msaada wenye viona mbali: binti aliyesoma PCM, div 3

    mpeleke aanze dip ,, lakini mchunge akae mbali na masela
  4. A

    Toa maoni yako hapa kuhusu mtaala wa Elimu Tanzania ili uboreshwe

    Form 5&6 zifutwe,, vijana waende chuo direct wakitoka fom 4
  5. A

    Uhakiki vyeti Rita ushaanza?

    Elf 3 Rita,elf 3 stationery,500 scanning
  6. A

    Msaada tafadhali, mabaka meusi usoni niyaondoaje?

    Kwa asili mimi ni mweupe lakini kuna hali ya weusi kwenye paji la uso hali inayofanya kuwa na rangi mbili. Kwa mtaalamu mwenye uzoefu na hii hali maana JF ina watanashati wengi tuelimishane ni sabuni au mafuta gani yataondoa hii hali ya mabaka, nimejaribu apricot scub sioni matokeo. Nawasilisha.
  7. A

    Uhakiki vyeti Rita ushaanza?

    Only 5 working days
Back
Top Bottom