Tafsiri yao ya " I will take.."ipo sahihi kabisa ila ukitafsiri kwa kiswahili kuwa "nitakufisha" wewe mwenyewe huoni kuwa ni tofauti kwani "take" tangu lini maana yake iwe kufisha??🤣🤣
Mimi nina wahy kutoka kwa Allah?
Acha kujifanya unajua wakati hujui1🤣🤣
Masheikh wamepewa wahy?
Wewe haujui kitu kuna wachamungu wengi tu na hawakuwa Mitume kama Dhul Qarnain na Luqman utume sio uchamungu
Mtume ni yule anayepewa wahy na sheria mpya na Nabii hupewa wahy bila sheria mpya
Na...
Acha ujuaji🤣
Mtume ni anayefikisha ujumbe wa Allah kwa wanadamu
Kuhusu watu wachamungu wapo wengi tu na hata sio Mitume
Wewe ndio haujui maana ya Mtume
We jamaa acha kujiona unaandika vitu vya maana wakati unaandika pumba tu hata ushahidi wa maandiko umekosa
Eti shetani amezuia Mitume labda kwenye dini yako hukohuko sisi huku Allah ameshakamilisha Dini na hakuna haja ya Mitume
Hayo ni mafundisho ya upande wenu sio Dini yetu sisi Allah ameamua asilete Mitume zaidi kwa kuwa ameshakamilisha dini kwa Mtume Muhammad
Kisa chenyewe ni cha uongo
Nyinyi upande wenu huko mitume iko wapi leo hii?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.