Recent content by Al Mukheef

  1. Al Mukheef

    Waislamu duniani wawacharukia viongozi wa falme za kiarabu baada ya kuonekana kutokuzingatia mfungo wa Ramadhan

    Tafsiri yao ya " I will take.."ipo sahihi kabisa ila ukitafsiri kwa kiswahili kuwa "nitakufisha" wewe mwenyewe huoni kuwa ni tofauti kwani "take" tangu lini maana yake iwe kufisha??🤣🤣
  2. Al Mukheef

    Waislamu duniani wawacharukia viongozi wa falme za kiarabu baada ya kuonekana kutokuzingatia mfungo wa Ramadhan

    Aya yenyewe ni hii يَا أَهْلَ الْكِتَابِ لَا تَغْلُوا فِي دِينِكُمْ وَلَا تَقُولُوا عَلَى اللَّـهِ إِلَّا الْحَقَّ ۚ إِنَّمَا الْمَسِيحُ عِيسَى ابْنُ مَرْيَمَ رَسُولُ اللَّـهِ وَكَلِمَتُهُ أَلْقَاهَا إِلَىٰ مَرْيَمَ وَرُوحٌ مِّنْهُ ۖ فَآمِنُوا بِاللَّـهِ وَرُسُلِهِ ۖ وَلَا تَقُولُوا ثَلَاثَةٌ ۚ...
  3. Al Mukheef

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Mimi nina wahy kutoka kwa Allah? Acha kujifanya unajua wakati hujui1🤣🤣 Masheikh wamepewa wahy? Wewe haujui kitu kuna wachamungu wengi tu na hawakuwa Mitume kama Dhul Qarnain na Luqman utume sio uchamungu Mtume ni yule anayepewa wahy na sheria mpya na Nabii hupewa wahy bila sheria mpya Na...
  4. Al Mukheef

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Acha ujuaji🤣 Mtume ni anayefikisha ujumbe wa Allah kwa wanadamu Kuhusu watu wachamungu wapo wengi tu na hata sio Mitume Wewe ndio haujui maana ya Mtume
  5. Al Mukheef

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    We jamaa acha kujiona unaandika vitu vya maana wakati unaandika pumba tu hata ushahidi wa maandiko umekosa Eti shetani amezuia Mitume labda kwenye dini yako hukohuko sisi huku Allah ameshakamilisha Dini na hakuna haja ya Mitume
  6. Al Mukheef

    Je, umeshawahi kufikiria nini kitatokea endapo mitume nayo ikaja kumuasi Mwenyezi Mungu huko huko peponi kulingana na wivu la kidaraja baina yao?

    Hayo ni mafundisho ya upande wenu sio Dini yetu sisi Allah ameamua asilete Mitume zaidi kwa kuwa ameshakamilisha dini kwa Mtume Muhammad Kisa chenyewe ni cha uongo Nyinyi upande wenu huko mitume iko wapi leo hii?
  7. Al Mukheef

    Mufti Mkuu Abubakar: Mkristo hawezi mfanyia fujo Muislam

    Mbona kwangu tu🤣
  8. Al Mukheef

    Mufti Mkuu Abubakar: Mkristo hawezi mfanyia fujo Muislam

    Al khamru haram
  9. Al Mukheef

    Mufti Mkuu Abubakar: Mkristo hawezi mfanyia fujo Muislam

    Kuna watu wanalewa humu hadi wanakosea kuandika kila neno nasema labda bahati mbaya cha ajabu anakosea kila post na kinachoandikwa akiendani na mada
Back
Top Bottom