Recent content by Al-mukheef

  1. Al-mukheef

    Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

    Hiyo ndoto ni ya uongo
  2. Al-mukheef

    Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

    Nani amekuambia🤣
  3. Al-mukheef

    Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

    Basi hapo mwenye ushawishi zaidi kidini ni huyo wa Iraq huku wa Iran ana ushawishi zaidi kisiasa
  4. Al-mukheef

    Dunia ni ya ajabu sana. Hadi Sasa sielewi hii dunia imeanza wapi na lengo la watu kuletwa hapa ni nini?

    Ninavyojua mimi kuna ambao wanakuwa na majini kweli na kuna ambao wanaigiza tu
  5. Al-mukheef

    Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

    Kwa hiyo maana yake ni kwamba Ayatollah wa Iran sio kiongozi wa mashia wote duniani?
  6. Al-mukheef

    Dunia ni ya ajabu sana. Hadi Sasa sielewi hii dunia imeanza wapi na lengo la watu kuletwa hapa ni nini?

    Au labda tuseme majini wanachagua watu maskini? Ila kuwa na majini sio lazima upandishe
  7. Al-mukheef

    Dunia ni ya ajabu sana. Hadi Sasa sielewi hii dunia imeanza wapi na lengo la watu kuletwa hapa ni nini?

    Unabisha kwa sababu haijawahi kukutokea ila mimi nina ushahidi na hilo Nakusihi tafuta mwenye majini ya ukweli sio ya kuigiza halafu ujaribu kumuuliza kuhusu mambo yako uone atajibu nini halafu uje utoe ushuhuda
  8. Al-mukheef

    Dunia ni ya ajabu sana. Hadi Sasa sielewi hii dunia imeanza wapi na lengo la watu kuletwa hapa ni nini?

    Itakuwa hujalielewq swali langu Sijakuuliza kuongea peke yao yaani namaanisha mfano wewe umekutana njiani na mtu usiyemjua lakini akakuambia mambo ambayo umetoka kuyafanya kwenu tena ukiwq peke yako na anakuelezea kwa usahihi kabisa
  9. Al-mukheef

    Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

    Tatizo wewe umejikita kwenye siasa mimi nimeulizia yupi ni mbabe kwa upande wa dini
  10. Al-mukheef

    Dunia ni ya ajabu sana. Hadi Sasa sielewi hii dunia imeanza wapi na lengo la watu kuletwa hapa ni nini?

    Je hao wenye huo ugonjwa wanaweza kumtajia mtu mambo aliyoyafanya akiwa peke yake?
  11. Al-mukheef

    Kuhusu cheo cha Mufti na Ayatollah

    Nachojua ni kuwa Iraq kuna Ayatollah tu ila sijui anaitwa nani
Back
Top Bottom