Unabisha kwa sababu haijawahi kukutokea ila mimi nina ushahidi na hilo
Nakusihi tafuta mwenye majini ya ukweli sio ya kuigiza halafu ujaribu kumuuliza kuhusu mambo yako uone atajibu nini halafu uje utoe ushuhuda
Itakuwa hujalielewq swali langu
Sijakuuliza kuongea peke yao yaani namaanisha mfano wewe umekutana njiani na mtu usiyemjua lakini akakuambia mambo ambayo umetoka kuyafanya kwenu tena ukiwq peke yako na anakuelezea kwa usahihi kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.