Recent content by Al-mukheef

  1. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania Katika Uislamu uchawi na kuroga (sihr), Qur'ani na Hadithi nyingi za vitabu zinakataza kabisa kujihusisha na masuala ya uchawi

    Hapa ndo umefanya mada yako ionekane ya kipuuzi zaidi na zaidi
  2. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hoja zimeisha🤣🤣🤣
  3. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Unachekesha Ronaldo hamfikii hata Hazard🤣🤣🤣
  4. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Hata mimi nasema CCM na Ronaldo ni kitu kimoja
  5. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ukiachana na magoli kipi mbuzi wako amemzidi GOAT?
  6. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Mbona umeshaanza kupaniki unahusisha mpaka CCM🤣🤣🤣
  7. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kwani Penaldo yeye zake hajapigiwa kura?
  8. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Zishahesabiwa na zitahesabiwa vizazi na vizazi wewe tia huruma tu🤣🤣🤣 Kwa mujibu wa tuzo,mataji,goal contributions na motm Messi ndio GOAT
  9. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Nani ana tuzo,mataji,motm nyingi na mchango mkubwa wa magoli zaidi? Huyo ndio GOAT vinginevyo ni mapenzi binafsi
  10. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Sawa tuhesabie hata hizo unazodai robbery nani an tuzo na mataji mengi?
  11. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kwenye carrier zao nani ana tuzo na mataji machache?
  12. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Achana na hayo mambo tufunge mjadala kwa tuzo,mataji na goal contributions
  13. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Sawa tufunge mjadala tuone michango yao ya mabao,tuzo zao,mataji yao na motm zao naamini hapo GOAT atajulikana tu
  14. Al-mukheef

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ma Mabao ya wizi?
Back
Top Bottom