Punguza jazba muelewe alichosema kwa jicho la tatu. Kuna waislamu baadhi wanalalamika juu ya mfumo kristo kwamba unetawala tanzania viongozi wengi wa serikali ni wakristo hata teuzi za raisi nyingi ni wakristo sababu ndio hiyo aliyoitoa jamaa kuwa waislamu tupo bize na madrasa na misikiti bila...
we kijana usijifanye unajua sana ndege peke yako dreamliner zina variants tatu dash 8 dash 9 na dash 10 na kinachozitofautisha hizi zote dash 8.9.10 ni idadi ya abiria na range uwezo wa kuruka bila kutua.hizo variants zote 8.9.10 zote zipo sokoni katika production line kwahiyo usiwadanganye watu...
unajitoa ufahamu au.fedha yetu ya ndani nikutoka dar mpka makotopora 743 km ambayo reli imeshaanza kujengwa na sasa imeshafika 75%.hawakusema reli yote tutajenga wenyewe hapana.saiz wale waliokataa kutupa mkopo pale mwanzo ndio wameanza kujitokeza baada ya kuona tumeanza wenyewe.mikopo duniani...
Naomba nitoe ushauri kuhusu vitambulisho vya taifa.hao nida ilitakiwa wawepo kila wilaya na ofisi za kudumu ambozo hizo office inatakiwa ziwe na kila kitu kwa ajili ya kutengeneza vitambulisho na sio nida wawe wanatembelea watu hapana.nchi zote ndio wanafanya hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.