Download whatsapp nyingine
Lkn ili kuverify namba tumia njia ya call verification (confirmation) yani badala ya kutumiwa code kwa messages basi na uhakika itarudi account yako
Nb
Punguza magroup yasio na maana cause kuna scammers wanapambana kuhack account za watu.
Acha punyeto mara moja , pumzika walau wiki 1 bila kuangalia hayo maporno then jitahd uwe unatafuna tembe za kitunguu swaumu kila siku japo kimoja na tangawizi usisahau kufanya mazoezi hata ya kukimbia kidogo.
Punguza mawazo kama kuna majanga unayawazia ,,
Nb
Kama ulikula mke wa mtu hapo subr...
Pole sana kijana
Lakini kwa scenario jinsi ilivyo huyo demu alikuwa anakutafutia sababu yakukuweka mbali ili afurahie penzi lake hilo na huyo mshikaji mwingine ,kiufupi hiyo mbinu aliyotumia huyo demu wako mademu wengi wanaitumia pindi wanapokuwa wanatongozwa na mtu mwingine au wanarudiana na...
Sipingani na wewe kuwa umaskini ni mindset lakini pia unatakiwa kujua kuna wakati ambao kuna vita kati ya mindset na reality (mindset vs reality).
Reality yako ni kwamba kweli huna kitu kwa kipindi hicho but mindset yako ndio itakayokuongoza kuikubali hali hiyo au laah but solution ni kwamba...
Nakumbuka mwaka 2015 nimemaliza form six yangu baada ya matokeo kutoka nilifaulu vizuri nikafanya application za mikopo na vyuo.
Mungu mwema mkopo nilipata japo asilimia chache sana kama 3% hivi. Ishu ikaja kwenye nauli yakunitoa mkoa husika kwenda mjini Daslam kuanza hicho chuo plus gharama za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.