Recent content by akishasha

  1. A

    Mgombea Urais kupitia CHADEMA na UKAWA, Lowassa ndani ya BBC Swahili - Oktoba 21, 2015

    Ukishakuwa kwenye mfumo wa kigaidi ukitoroka lazima magaidi wakutafute kukuua ili husitoe siri.Vivyo hivyo mafisadi wa CCM wanamtafuta Lowassa kwa Kila hali ili hasipate uraisi hasijekutoa siri zote Za ufisadi ndani ya mfumo wa CCM.Hii ndo vita kuu anayopigana Lowassa.Lakini kwa Kuwa amechagua...
  2. A

    Mbowe: Hatutayakubali matokeo ya kupikwa na NEC

    Hii nchi ina watu wa kuhurumiwa sana.Badala ya kuunga mkono juhudi Za kuhakikisha haki katika uchaguzi tunakalia mizaa.Nani hasiyejua hatuna tume huru na CCM inahaha kutafuta goli la mkono.Haki ikitendeka mshindi anapatikana kwa Uhalali haijalishi ni CCM au UKAWA kunakuwa na tatizo gani?Acheni...
  3. A

    Mahakama Kuu Kanda ya Dar: Marufuku Mikusanyiko ndani ya mita 200 baada ya kupiga kura

    Na si Kwamba Kila Mtu atatabaki kituoni.watu wanazo shughuli na ikumbukwe ni jumapili watu hupumzika .Wale wanaotaka kubaki wabaki Mita 200 na jeshi liwalinde na kuwahakikishia usalama.Watakaovunja Sheria Kama ilkitokea Japo haitegemewi basi Sheria ichukue mkondo wake lakini police nao...
  4. A

    GE2015 Lowassa: Serikali yangu itaangalia jinsi ya kuvunja mkataba wa bandari ya Bagamoyo

    Mikatana yenyewe itakuwa imeingiwa kiushikaji na kwa maslahi binafsi.
  5. A

    Dr. Magufuli ashindwa kuhutubia baada ya kuzomewa

    Halafu Hawa wanywa viloba wana hasira CCM imewafanya hivyo na wanavichinjio tayari kuchinja hapo 25 oct.Pazuri hapo!
  6. A

    System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

    Sasa si ufurahi kimya kimya ?unamweleza nani na kwa nia gani?mkubali msikubali CCM Tz haijapata Kuwa na upinzani wa kiwango hiki tangu uchaguzi wa vyama vingi.Hadi sasa CCM hawana uhakika wa kushinda Ndo maana wanatengeneza goli la mkono.Jiulize wanaogopa nini watu wakikaa Mita 200?Hata...
  7. A

    Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

    Kung'ang'nia madarakani inaweza Kuwa mtu au chama.Hapa kwetu watu wanataka madarakani Ila Chama chao kinabebwa na tume na vyombo vya usalama hata Kama hakitakiwi tena.Hapo hamna tofauti na kulazimisha kukaa madarakani na inakera Kila anayetoka anahakikisha anaweka mtu wa kusimamia maslahi yake.
  8. A

    Kikwete: Atakayekaidi na kubaki kituoni kulinda kura "HATAVUMILIWA"

    Kila Mtu ataenda peke yake kisha mtakutana kusoma matokeo ndo utakuwa mkusanyiko tayari na tutapigwa.Sasa matokeo tutaletewa nyumbani na CCM au na tume?
  9. A

    USHAURI: UKAWA watumie neno hili ktk kuhamasisha kulinda kura!

    Piga kura baki kusubiri matokeo nje ya Mita 200.Imekaa vizuri sananhiyo .ujumbe usambazwe Tz nzima utaratibu si Kulinda Kura Bali ni kusubiri matokeo.Wenzetu hawataki kujua matokeo sasa wakienda nyumbani watayajuaje .Wengine Nyumba zetu ziko within 10 meters sasa tutaenda Wapi?Halafu kwanini...
  10. A

    Balozi Juma Mwapachu na ubinafsishaji wa mashirika ya umma!

    Tunahitaji mabadiliko.Woote tumeharibiwa na mfumo wa CCM.Hata Mimi na wewe ni tufisadi tudogo dogo tuloiharibiwa na mfumo.Tunaposema mabadiliko ya mfumo tunamaanisha .Tumefika mahali ambapo Wote ambao tuko CCM ni hatujitambui wala hatutambuliki Kama ni wabovu hadi tukishatoka huko.Kwa hiyo...
  11. A

    Picha: Mama R. Lowassa akiwa Mafinga Leo

    Wapeni raha Lowassa na Mama Lowassa.Wamebebeshwa dhabi na matusi ya watu wengine kwa muda mrefu.Lakini Mungu ajuaye haki na kulipa wema kawainua na sasa njia ni nyeupe.Asante Mungu Kwani umetenda .Amen Amen Amen.Lowassa ni raisi kwa jina la yesu na Mtume.
  12. A

    Naliona anguko la CCM tarehe 25 Oktoba, 2015

    Tena litakuwa anguko kuu lenye baraka za mwenyezi Mungu.
  13. A

    Moi aliwashangaa Wakenya walivyomkataa Uhuru na kumchagua Kibaki

    Umeshaambiwa tatizo ilikuwa Chama Kama hapa Tanzania tatizo ni CCM.Ndo maana Lowassa alivyo toka CCM akakubali.Hata Magufuli akitoka CCM anaweza kukubalika mwaka 2025 baada ya Lowassa kumaliza kipindi chake.
  14. A

    Mwigulu atuma salamu kwa vitendo kwa Lowassa na Vincent Nyerere

    Suburi akipita Lowassa Mitaa hiyo.Haitakuwa mamia bali mafuriko.Kisha watu hawatakumbuka tena Kama Mwigulu au Magufuli walipita.Lowassa ni tishio na nyota yake haina mpizani.
  15. A

    Kingunge, Lowassa, Sumaye...

    Big boost to UKAWA.Wenye akili ndogo hawataelewa.Ngoma inogile.
Back
Top Bottom