Hakuna kipya kwenye vita ya Ukraine na Urusi ambacho magharibi hawajakifanya. Walianza kuvisifia vifaru vya Bradley mara Abrahams, Leo viko wapi? Zelenskiy aliomba mifumo ya ulinzi ya anga c alipewa? Vimesaidia nini? Kaomba ndege za F-16 nazo c alipewa? Mbona zinazidi kupukutishwa?
Huu mgogoro...
Hiyo dini yako kwani umeanza kuielewa lini? Kwa Mungu na vita hachangamani? Ulikuwa wapi wakati Israel wanauzunguka ukuta wa yeriko? Israel chini ya sauli c ilikuwa inapigana vita? Hata chini ya daudi pia c ilikuwa inapigana vita? Nimejibu kulingana na dini unayoisema.
Mkilewa msishike cmu...
Kwamba leo hii Iran na Israel wakakae meza moja pale Syria kwajili ya Assad? Hivi juzi tu hapa Israel kampiga biti Iran kuhusu kumsaidia Assad halafu leo hii yeye ndio akawe msaada kwa Assad? Siasa za mashariki ya kati kati huzijui bora uwe unasoma post za weñgine tu humu.
Nyuma ya huu mgogoro...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.