Vijana mnaosihi Kwa mashemeji zenu mnasumbuwa sana na kelele zenu Kila mda mnaanzisha nyuzi zisizo na maana yoyote sababu mnakaa bure na kulala sebuleni kama TV
Ukitoka Kwa shemeji Yako unakokaa bure na kula bure utaanza kujitambuwa Kwa Sasa endelea tu maana huchangii chochote ,, Matatizo ya kulala sebureni kama TV naona yameanza kuleta matokeo sasa
Kuna nilikuwa nakuona kama unajitambuwa hivi kumbe kichwani na wewe hamna kitu kabisa , mbona unaongea vitu vya kijinga sana kuliko muonekano wako ?? Au tayari akili zako zishakuwa hazina akili?? ,,jitambuwe basi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.