Vyeti vingi vya kisasa hupigwa muhuri wa moto sio ule muhuri tulouzoea kwaio cheti chenye muhuri wa moto ukikipiga lamination muhuri unapotea na inaonekana umefoji hicho cheti
Kuna ile mifuko ya plastick kama kihandbag mbona unatunzia vizuri tu ivo vyeti
Nb: Sikiliza ushauri wa dada wa veta
Uislamu umetufundisha ukishajiona una hasira chukua udhu swali rakaa 2
Hlf ww inaonekana ni wale watu ambao mnajiweza kimaisha na kudharau wengine kwaio mtu akikukera kidogo tu unaona huyu ni mbwiga tu hana la kunifanya hii kitu iondoe akilini mwako
Hlf pia kama unafuga sharubu punguza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.