Recent content by Akhi

  1. Akhi

    JamiiForums Tanzania Sifurahii kufanya kazi na natamani kuacha kazi kwasababu hapa ninapofanyia kazi incharge nimemzidi GPA na yeye ana elimu ya kuunga unga

    Oya incharge ni bora kuliko wewe mana yy kapambana haswaa mpka kufikia apo alipo ww umekuja juzi fresh graduate kiherehere kikubwa sana inshort hufawiiiii
  2. Akhi

    JamiiForums Tanzania Mnaosema uchawi haupo, hiki ni nini.!?

    Sio Ai iyo video ni ya miaka mingi sanaa
  3. Akhi

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Ohooo tit for tat au vipi
  4. Akhi

    JamiiForums Tanzania Ujambazi mkubwa umefanyika jana Katoro. Maduka ya M-pesa yameporwa pesa. Milio ya bunduki ilirindima watu wakajifungia uvunguni

    Uko katoro mnajionyesha sanaa kua mna hela Mchuma janga hula na wa kwao
  5. Akhi

    JamiiForums Tanzania Yanga anafungwa leo

    Mbona tena Arajiga ndo pilato ! Ohooooo ngoma ishakua ngumu hii
  6. Akhi

    JamiiForums Tanzania Yanga kumsajili selemani mwalimu nani alaumiwe?

    Hhhhh sele 20yrs! Kama haendi 28 uko
  7. Akhi

    JamiiForums Tanzania Yanga anafungwa leo

    Utajua baada ya kufungwa
  8. Akhi

    JamiiForums Tanzania Yanga anafungwa leo

    Yanga wameenda kulala hoteli ile ile walofungwa kwenye CRDB cup ipo bweleo Kwaio tusubirie marudio au mapya
  9. Akhi

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Bila ya shaka kiongozi huyu ni kutoka ..ngida
  10. Akhi

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Tetesi za usajili Ligi Kuu msimu wa 2026/27

    Simba
  11. Akhi

    JamiiForums Tanzania Ukanda pwani kuoa na kuacha ni kama kumsukuma mlevi. Yaani mwanamke anaachika nakuolewa hata mara tano, kwao kawaida sana

    Bora hao wanaachana wakishachokana sasa nyinyi mnouana bora wepi?
  12. Akhi

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0357 Muda wa kuamka kwa wapambanaji
  13. Akhi

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wabovu kuwahi kusajiliwa Simba na Yanga

    Simba Pape nd'aw Dany sserunkuma Kwizare Yanga Jaja Yikpe
  14. Akhi

    JamiiForums Tanzania Mateso ya Wanyama wanaovalishwa gari unguja (Punda na Ng'ombe)

    Kwa unguja wengi wanofanya ivo ni waraibu huwaambii kitu hao Unaweza kutumia hao wanyama kwa kazi zako bila ya kuwapiga na chochote kile mana nishafanya sana tu hii kazi ila wengi wao ni waraibu Ng'ombe ukimbebesha mzigo kua aina zake za kumfanya ili akazane bila ya kumuumiza unakua unafanya...
Back
Top Bottom