Recent content by Akhi

  1. Akhi

    JamiiForums Tanzania Kuna madhara gani nikiweka ''lamination'' kwenye cheti changu ?

    Waanta kadhalika
  2. Akhi

    JamiiForums Tanzania Kuna madhara gani nikiweka ''lamination'' kwenye cheti changu ?

    Vyeti vingi vya kisasa hupigwa muhuri wa moto sio ule muhuri tulouzoea kwaio cheti chenye muhuri wa moto ukikipiga lamination muhuri unapotea na inaonekana umefoji hicho cheti Kuna ile mifuko ya plastick kama kihandbag mbona unatunzia vizuri tu ivo vyeti Nb: Sikiliza ushauri wa dada wa veta
  3. Akhi

    JamiiForums Tanzania Natoa huduma za Tour Guide Zanzibar

    Mkuu inategemea na route zako tu nakuja Pm tuongee zaidi
  4. Akhi

    JamiiForums Tanzania Kwanini kiatu kilinikimbiza?

    Stori za tanga ni za mambo ya ajabu ajabu tu Hivi mshaacha kutupiana zongo?
  5. Akhi

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    Right
  6. Akhi

    JamiiForums Tanzania Story za ujambazi wa jiwe Fatuma na utekaji mabasi katika mapori

    Ningeshangaa kama sijaona uchangiaji wako kwenye ishu hizi
  7. Akhi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia hakwenda kumzika Bi. Suzan Magufuli, Mama wa aliyekuwa Rais wa Tanzania?

    Hujakosea from hungumalwa
  8. Akhi

    JamiiForums Tanzania Kwanini Rais Samia hakwenda kumzika Bi. Suzan Magufuli, Mama wa aliyekuwa Rais wa Tanzania?

    Katika walinzi wa raisi nilovutiwa nao ni yule wa magufuli mwamba sijui anaitwa nani yule
  9. Akhi

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ndani ya muda mfupi, Zanzibar imetajirika ghafla ila Tanganyika chaliii

    Zanzibar maisha ni ghali sanaaa iyo laki 3 si kweli
  10. Akhi

    JamiiForums Tanzania Nani Mwingine hasira humweka pabaya kunizidi?

    Shetani hupalilia hasira kwenye sharubu
  11. Akhi

    JamiiForums Tanzania Nani Mwingine hasira humweka pabaya kunizidi?

    Uislamu umetufundisha ukishajiona una hasira chukua udhu swali rakaa 2 Hlf ww inaonekana ni wale watu ambao mnajiweza kimaisha na kudharau wengine kwaio mtu akikukera kidogo tu unaona huyu ni mbwiga tu hana la kunifanya hii kitu iondoe akilini mwako Hlf pia kama unafuga sharubu punguza...
  12. Akhi

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada, hii ndoto ina maana gani?

    Ni vile tu mlishibana hakuna kitu kingine
  13. Akhi

    JamiiForums Tanzania Polisi wamtafuta aliyepandisha bendera tano zinazofanana na bendera ya Taifa na bango lenye ujumbe ‘Uzinduzi wa Mapenzi’

    Sasa anatafutwa ana kosa gani hapo? Au mtz huruhusiwi kumiliki bendera? All in all wananchi hawana koromeo
  14. Akhi

    JamiiForums Tanzania Nyerere Hakutaka Somo la Falsafa Kupewa Kipaumbe Kwenye Elimu Yetu' - Dk Camillus Kassala

    Somo la falsafa ni ujinga tu bora lilivokua halijapewa kipaumbele
Back
Top Bottom