Recent content by Akhi

  1. Akhi

    Wafanyakazi wa Hoteli ya Lukuvi (GerWill) Waangua Vilio Vya Majonzi

    Wizi wizi wiziiiiiiiikid
  2. Akhi

    Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

    Huku Zenji walifungua shule
  3. Akhi

    Wosia wa William Lukuvi: Wazanzibari hawatupendi Watanganyika. Tukiwaacha Uhuru Watatusumbua na siasa kali

    Mwambieni aje kuitawala yeye sasa Dunia tunapita tu hii kiburi hakifai
  4. Akhi

    Quality Hotels and Resorts: Nairobi vs Zanzibar

    Anaetaka kuja kutembea Zanzibar Tour driver nipo karibuni Zanzibar ni njema atakae aje
  5. Akhi

    Addo November: Irene Robert amekutwa Hotelini akiwa mtupu

    Msifanye masikhara na kifo hlf huyu inaonekana kafa kwenye uzinzi sasa kifo chake apo ni hatarii yani roho inavotoka ndo mpka aka....ea yani sio poa kifo sio kirahisi kama tunavodhani
  6. Akhi

    Jenerali Muhoozi: Uganda ipo tayari kuisaidia Israel

    Uganda endeleeni kutoa Elimu tu watu wapandishwe vyeo makazini mana kama hutaki SUP nenda kasome Uganda unarudi na ganda lako saaafii kabisaaa Nb: Waganda nawaheshimu wamenisomesha since primary
  7. Akhi

    KERO Makato ya Mkopo kwenye Mshahara wangu yananitesa sana. Nilikopa Milioni 10 ili nifanye biashara ya madini ila haijafanikiwa

    Tukiwaambia riba haifai mnatuona waislamu tumepitwa na wakati eee Haya sasa onja joto la riba yako mwenyewe 10M ni pesa ya kwenda kukopa kweli kwa ajili ya biashara ya madini? Wakati mkulima anaipata ndani ya mwezi tu
  8. Akhi

    Serikali yapiga marufuku kutumia CCTV Camera bila usajili. Je, ni kuwalinda wasiojulikana?

    Hii ni sheria ya Ufaransa hawaruhusu cctv camera ata za majumbani sababu ni iyo iyo kulinda faragha
  9. Akhi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    "Two pilots died after collission at New york's la Guardia Airport" Bbc News
  10. Akhi

    Kwenye Uislam, Bima ni Haram kama ilivyo kamari

    Basi ndo ufahamu pia kua bima ni wizi tu
  11. Akhi

    Kwenye Uislam, Bima ni Haram kama ilivyo kamari

    Mbona husemi watu wa bima pia wanavopata tabu
  12. Akhi

    Kwenye Uislam, Bima ni Haram kama ilivyo kamari

    Bima ni wizi uliorasimishwa kisheria tu Kama bima ya Afya ni mfuko wa kusaidiana kwanini kuna matabakq VIP Sijui na nyengine Mfano kama mimi inaweza kufika mwaka wa 8 huu sijui hospitali nilienda lini sasa kwaio miaka 8 yootee nitoe pesa yangu bureee? Wasipoilazimisha kma bima ya vyombo...
  13. Akhi

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mwamba Putin ashapeleka mafuta Cuba tuone US atamfanyaje Mbabe ni mbabe tuu
Back
Top Bottom