Msifanye masikhara na kifo hlf huyu inaonekana kafa kwenye uzinzi sasa kifo chake apo ni hatarii yani roho inavotoka ndo mpka aka....ea yani sio poa kifo sio kirahisi kama tunavodhani
Uganda endeleeni kutoa Elimu tu watu wapandishwe vyeo makazini mana kama hutaki SUP nenda kasome Uganda unarudi na ganda lako saaafii kabisaaa
Nb: Waganda nawaheshimu wamenisomesha since primary
Tukiwaambia riba haifai mnatuona waislamu tumepitwa na wakati eee
Haya sasa onja joto la riba yako mwenyewe
10M ni pesa ya kwenda kukopa kweli kwa ajili ya biashara ya madini? Wakati mkulima anaipata ndani ya mwezi tu
Bima ni wizi uliorasimishwa kisheria tu
Kama bima ya Afya ni mfuko wa kusaidiana kwanini kuna matabakq VIP Sijui na nyengine
Mfano kama mimi inaweza kufika mwaka wa 8 huu sijui hospitali nilienda lini sasa kwaio miaka 8 yootee nitoe pesa yangu bureee? Wasipoilazimisha kma bima ya vyombo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.