mambo hayo yanahtaji Imani kama unaamini Yesu/Mungu hakika jambo hilo ni dogo sana, na zindiko lako kubwa ww kabidhi ulinzi kutoka kwa Yesu yaani unayaombea hayo Mahindi ili kusudi yazungukwe na ulinzi Wa Yesu Kristo.
Na ukisema uweke imani kwa hizo nguvu za Giza, hizo hazina mda mrefu na huwa...
Habari Dk, natumaini u mzima
Samahani
Nina mdogo wangu ana umri Wa Miaka minne, anatokwa na damu, usaha kisha harufu mbaya puani katika tundu la kushoto .naomba unisaidie dawa zinazo weza kutumika maana anapata taabu sana
Sijajua ni ugonjwa gani na unasababishwa na nini.
Msaada wako Tafadhari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.