Wakuu nadhan Nina mkosi, Kazi sipati nikipata mbaya, Nikinnua mifugo inakufa, Biashara holaa, Mke Sina,
Kwa mganga nimeenda mara moja lakin nayenyewe bado haijanisaidia.
Nachomokaje hapa wakuu.
Wakuu nina ofisi inayonajishughurisha na software development, Juzi nimepata mteja ambaye anataka "School Management System" lakin anataka malipo yakifanyika kwenye account ya shule yaonekane kwenye system. Na hili ili liwezekane nilazma nipate API ya bank ya account husika. Kama kuna mtu...
Mtu mmoja ambae ni mkazi wa Murgwanza Wilayani Ngara mwanachama wa ccm amekutwa akiandika namba za Vikatio amepgwa na wanamabdiko nusu apoteze maisha! Jamani Nguvu yamabadiliko haizuiliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.