Mwambukusi kajichanganya tu hatakiwi kabisa kuambatana na slaa huyo ni yuda, uzuri wa Chadema wanachonga kinyago wenyewe na kikiwazinguwa wanakibomoa wenyewe
Maana yake Chadema ni mafundi wa kujenga na kubomoa pia wanajua anayebisha akamuulize shemasi wa kipindi kileee kule Twitter kwa wakati huo
Yaani kwakweli hii ni kali ya mwaka kwamba wananchi hawaijui katiba??! Kwa mantiki hiyo hata Uraisi wake wananchi hawatambui dah kweli leo wame muingiza chaka😂😂😂😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.