Recent content by aka2030

  1. aka2030

    Kwanini kawawa hajaenziwa kama sokoine?

    Duuh anatoka wapi
  2. aka2030

    Kwanini kawawa hajaenziwa kama sokoine?

    Wanasema ila haina uhakika
  3. aka2030

    Kwanini kawawa hajaenziwa kama sokoine?

    Hata kama Kuna sokoine university Stadium Shule ndio kibao Barabara rais sasa muoslam Nashangaa hata hamna chuo kikuu kinaitwa mwinyi jamani mengine yalifanyika kabla
  4. aka2030

    Kwanini kawawa hajaenziwa kama sokoine?

    Nauliza tu kwanini? Wakati ni mmoja ya watu waliolitumikia taifa hili kwa kila hali Nashauri watoto wake na wao waandae kumbukumbu yake itasaidia utawala kumkumbuka
  5. aka2030

    Barabara ya Geita kwenda Bukoli Kupitia Buyagu na Kamena mbona GGM wameitelekeza?

    Changeni mjenge msisubili kila kitu serikalo Halafu nyie wachimbaji si mnHela
  6. aka2030

    Kariakoo, Upanga na Posta wana nchi yao nyingine kabisa

    Tunasemea wa posta na kariakoo sio wew wa tandale
  7. aka2030

    Watu maarufu waliofanikiwa kwa kuwatekeleza baba zao

    1. Ommy dimpoz Jamaa amefanikiwa sana baada ya kumterekeza baba yake akiwa anatanua DSM na fedha za kuhongwa na GSM baba yake anaendesha bajaj huko sumbawanga 2.Diamond platnumz Huyu amefanikiwa sana na nyota imeng'aa kwa kumzalilisha baba yake na kumuweka mbali kabisa yeye akiwa anakula bata...
  8. aka2030

    Tofauti kati ya timu ya Wananchi na Mabwanyeye

    Naaam 👍🏿👍🏿
  9. aka2030

    Tofauti kati ya timu ya Wananchi na Mabwanyeye

    Yanga juzi wakati wamacheza Ghana walivaa vitambaa vyeusi kuonyesha wanaguswa na tukio la Hanang hamna timu nyingine imefanya hivyo Yanga kwenye foundation ya prof jay imechanga tsh 5m upande wa pili hata simba ambayo ndio timu yake haijatoa hata mia Hapo ndio tofauti inapoanzia Azam...
  10. aka2030

    Hili ndio Kundi gumu CAF

    Sana kama la asec rahisi mno angekuwepo mamelody hapo angekuwa na point 9 timu kongwe AFL imezichosha sana
  11. aka2030

    Hili ndio Kundi gumu CAF

  12. aka2030

    Hii hali inakuaje

    Pole sana bigular la lastpost halipo mbali na wewe
Back
Top Bottom