Chama Cha Mungu wa mbiguni kinashidwa kuongeza mishahara kwa watumishi wake, hiki chama sio cha Mungu wa mbiguni ni chama cha shetani wa mbiguni. Sifa ya Mungu wa kweli ni upendo, uvumilivu, Hana ubaguzi pia hanunui wabunge.
Kwani wachezaji wa Simba na Yanga waliigia mkataba wa kuchezea timu ya taifa na bila wao timu haipo, tungeacha mazoea na kila mtazania mwenye uwezo anahaki ya kujuishwa kwenye timu ya taifa.
Kwani DC yeye hajawahi kuchelewa tangia amekuwa kwenye utumishi wa taasisi mbalimbali ambazo amewahi kutumikia kabla ya kuwa DC, ndio vile tunasahau haraka sana tulikotoka.
Baadhi ya viongozi ni wanajiona wao miungu hawana mapungufu wamekamilika, watawaliwa ndio wenye mapungu ya kibinadamu. Hawajui wanatenda kama mafarisayo kuwapa wengine sheria ngumu wakati wao hawawezi kuzitekeleza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.