Natafuta nyumba ya vyumba 3 vya kulala, choo cha ndani, sebule, jiko, car parking na fence. iwe na umeme wa luku wa kujitegemea na maji. iwe maeneo ya karibu na Mandela road(ubungo riverside, mabibo hostel, external, gereji, tabata etc).
Budget yangu 200,000 per month, nalipa kila baada ya miezi...