Recent content by ajc

  1. ajc

    Koboko (Black Mamba) - Nyoka hatari zaidi duniani

    Sio huyo mkuu,mwenyewe ni mweusi tii
  2. ajc

    Nimekuta akaunti yangu ina nyongeza ya kufuru la fedha

    Kwanza umeongopa huwezi kuona salio hilo hilo kila wakati maana tarakimu ya mwisho mia tano,eti umeeangalia mara tatu nzima hela isipungue? Kawadanganye wanao
  3. ajc

    Tanzania ya 10 kwa ubora wa uchumi Afrika

    Hicho kitu hakipo tanzania haiwezi kuizidi uchumi botswana
  4. ajc

    Mwenyekiti wa Yanga, Yusuf Manji ameamua kujiuzulu nafasi yake

    Ngoja tusubiri wapiga magoti wamwendee
  5. ajc

    TCU wanatarajia kufungua CAS kuanzia Jumatatu kwa wale wa diploma

    Sasa plan b ni ipi hapo maana wenyewe hawajatoa plan b,au nikichane cheti nilichonacho nikasome tena? Ndalichako atatuua
  6. ajc

    TCU wanatarajia kufungua CAS kuanzia Jumatatu kwa wale wa diploma

    Sasa plan b ni ipi hapo maana wenyewe hawajatoa plan b,au nikichane cheti nilichonacho nikasome tena? Ndalichako atatuua
  7. ajc

    TCU wanatarajia kufungua CAS kuanzia Jumatatu kwa wale wa diploma

    Wanatunonea sisi wa engineering kupata gpa ya 3.5 sio mchezo
  8. ajc

    Sina imani na Clouds Fm sport extra

    Ukweli lazima usemwe,kwa kitendo kile cha kukodisha bure timu mpaka 2026 sio mchezo jamaa amejipanga kurudisha m100 zake alizotoa mara mbili tatu,akili zao zimelala wanachama wa ndala.
  9. ajc

    Kwanini Chato International Airport na si Omukajunguti international Airport? Kagera inaonewa sana

    Poleni wahaya,tatizo na wenyewe huwa wanajidai ujuaji sana,maana hata kupata kiwanja cha mwekezaji mtu atakwambia square mt 20 kwa 20 anataka bilioni 5 sasa maendeleo yatakujaje,nilikutana na wasomi wachache wa mkoa huu wanasema hivyo kuwa watu ni wajuaji sana. Wenzao wazaramo waliamua mji wao...
Back
Top Bottom