Huyu mzee Warioba nimempenda kweli,ni aina ya wazee wanaopenda kusimama katika lile wanaloliamini,maana wabunge na viongozi wengi wa ccm ni wanafiki wanajali chama kuliko maslahi ya wananchi ambao ndo wengi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.