Zanzibar ni nchi iliyo kwenye muungano na hizo national broadcasting channels zinalipiwa kodi na wallpapers kodi wa JMT qmbayo sio state ya kiislqmu lakini hujawahi kusikiq mkristo akilalamika content zao....ITV na Star TV ni private cooperation huwezi jua wanaohost hivo vipindi pengine...
Kuna watu wako makazini wanaongeza visomo vyao na hivyo kuwalazimu kuingia madarasa ya usiku....wakipeleka mapendekezo ya ratiba za darasani wawe na valid reason why muda upunguzwe....suala la usalama sio issue ni watu wazima hao from 18yrs....kwanza wanakesha maclub wanarudi mida mibaya na...
You must be kidding eeh....kwa soko gani la ajira hii nchi ukafundishe watu kwa kiswahili mpaka chuo? Au kiswahili kinazungumzika nchi ngapi labda? Hivi umewaza taaluma kama za udaktati au engineering zikafundishwe kiswahili like seriously? Kiswahili ibaki kuwa native language, kingereza iwekwe...
Kwani hizo team za Ulaya tunashabikia ni za Africa na hizo dini zao za upagani, uyahudi etc.. tumezifuata? Mpira ni burudani...use your common sense to make sense acha ushabiki maandazi!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.