Jamani wana jf eti Chenge naye anataka kuwa spika wa bunge letu tukufu???? kajipima kaona anweza mtu dhalim kama yule. tuombee wabunge ambao ni wapiga kura wafanye maamuzi sahihi na sio Andrew. jioni njema:thinking:
This is very shame haiwezekani kwa jimbo la Nyamagana akaacha majukumu ya msingi kuja mwanza kulazimisha matokeo yatangazwe ndivyo sivyo kwa kutumia rasilimali za watanzania, kuna nini jimbo la nyamagana mpaka kusababisha uvunjifu wa amani ????? wote walikuwa hapa wote JK,Kinana,na Makamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.