Recent content by Aidantz

  1. A

    Naona nikienda kuwa academician, nimechoka ajira kwenye private sector

    Kaka tuchekiane whtsap na mimi ni mmoja wapo wa hizi tutorial nazisaka nikomae nazo hadi phd
  2. A

    Uzi maaluumu wa kupeana hints za hii kazi wanayoenda kufanya interview "Editor II" Taasisi ya elimu (TIE))

    Oya kaka nmeitwa pia kama una lile tangazo la hii kqzi naliomba tuone duties na responsibilities au nicheck whtsap 0755105830 tupeane hints
  3. A

    Msaada aliyewahi kufanya usaili kwenye nafasi hizi

    Unalo lile tangazo la kazi hizi walizotangaza unitumie whtsap kaka #0755105830
  4. A

    Mliofanya interview DUCE kuna aliyepata matokeo?

    Share maswali mliyoyakuta ya written watu wapate experience
  5. A

    Interview TAA(Mamlaka ya viwanja vya ndege)

    Duce ilikua inahusu n nino
  6. A

    Hivi hakuna njia nyingine tofauti na saili za aina hii ya sasa kwenye soko la ajira za Serikali?

    Lazima uendane na System hiyo unayoisema wewe ishapitwa na mda hii ni era ya modern haina haja kuita watu wengi 230 nafasi 6 mengine ilibidi yaishe huku huku online inawezekana leo nafanya interview Australia nipo Tz easy bado mifumo yetu tuna uzamani mwingi pia kuna kale kakuona vijana hawana uwezo
  7. A

    Utumishi

    Wadau na huzuni mwenzenu sijui nifanyeje mm ndo huyo Number psrs/22/4614/298 nmepata 55 Number 34 apo dah nmeumia wadau [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
  8. A

    Sikuitwa usaili wa ana kwa ana kwa kuwa barua yangu haikuwa na anuani ya Katibu wa Utumishi

    Wadau, Naombeni msaada sijaelewa yani kuna kazi za utumishi niliomba ajira portal zingine nimeitwa kwenye written zingine sijaitwa naambiwa application letter Not Adressed to secretary hii imekaaje wadau wakati Adress ndo ya utumishi na ndo hiyo hiyo zingine nimeitwa kwenye Interview.
  9. A

    Machungu ya kukosa ajira

    Nouma sana kaka
Back
Top Bottom