Lazima uendane na System hiyo unayoisema wewe ishapitwa na mda hii ni era ya modern haina haja kuita watu wengi 230 nafasi 6 mengine ilibidi yaishe huku huku online inawezekana leo nafanya interview Australia nipo Tz easy bado mifumo yetu tuna uzamani mwingi pia kuna kale kakuona vijana hawana uwezo
Wadau na huzuni mwenzenu sijui nifanyeje mm ndo huyo Number psrs/22/4614/298 nmepata 55 Number 34 apo dah nmeumia wadau [emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]
Wadau,
Naombeni msaada sijaelewa yani kuna kazi za utumishi niliomba ajira portal zingine nimeitwa kwenye written zingine sijaitwa naambiwa application letter Not Adressed to secretary hii imekaaje wadau wakati Adress ndo ya utumishi na ndo hiyo hiyo zingine nimeitwa kwenye Interview.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.