Recent content by ahmednuru

  1. A

    Bonge la live show: Usikose Dar Live leo jioni

    habar zenu wakuu sipo tim yyte ila nivizuri kupiga live band na show yke itakuwa nzuri!! lakn sasa jaribu kupita tht anapofanyia mazoez kwa sasa uone anavyoimba nitofaut kbsa na nyimbo yenyewe minaona iyo siku watu dar live watalala tu nakunauwezekano mkubwa jamaa akaailisha live band kwan...
  2. A

    Asitisha mawasiliano baada ya kumkatalia kumpa dressing table

    Naimani alikuwa anatafuta sababu tu, na alikuwa hanamapenz nawewe
  3. A

    Isome tu utapata funzo katika maisha yako ya kimahusiano

    nimeipenda xn stort yko je naweza nikaitumia?
  4. A

    TANZIA Captain John Komba afariki Dunia

    Ivi watanzania tunakuwa na akili gani? maana nijambo lakuhuzunisha kumpoteza kiongozi wetu nyie mnaanza kumkashifu nakuleta maneno yakijinga, ivi tunachomlaum nikwakipi? angejitokeza mwananchi wa mbinga analalamika kuwa mh komba alikuwa silolote kwao hapo sawa. Ebu fikilia watu wambinga...
  5. A

    Lulu Elizabeth, Jackline Wolper waoneshana jeuri ya mabwana!

    mmmh ndomaisha yawasanii wetu ila mwisho wao huwa mbaya xana
Back
Top Bottom